Naombeni ufafanuzi

Naombeni ufafanuzi

From 5th to 8th every month.You mean which changes?
<br />
<br />
unajua if pregnancy has occured n its a month nw lazima kuna mabadiliko ya kimwili yangetokea kama kichefuchefu,nk.na kuhuthu hiyo tar its rare kupata ujauzito lakn cyo watu wote wako sawa.mshauri akafanye upt
 
hey wanajf,ahsanteni sana kwa mawazo yenu.......mi ni kidume jama,ila niliuliza kwa niaba ya rafiki(me) na mpenzi wake..wao co wanachama wa jf..
jf never stop amazing me!!!
 
Back
Top Bottom