Naombeni ufahamu kuhusu kozi ya Bachelor in Wildlife and Management Tourism

Naombeni ufahamu kuhusu kozi ya Bachelor in Wildlife and Management Tourism

Nipo kwenye hii field kwa miaka nane sasa kwa maana ya kuajiriwa na mojawapo wa hizi taasisi ( TAWA,TANAPA,NCAA),kwaiyo ushauri nitakaokupa uzingatie sana.

1. Ajira za Bachelor Degree kwenye hizi taasisi ni ngumu sana na ni adimu kuzitoa na hata zikitolewa zina competition kubwa sana maana unaweza kuta wanataka watu kumi tu na hizo nafasi zinaweza kutoka kwa interval hata ya miaka mitano hadi saba kwaiyo sasa ushauri wangu kwako kama utaweza achana na kusoma bachelor ya hii course nenda kasome Technician Certificate in Wildlife Management ambacho kinatolewa Chuo cha wanyamapori Pasiansi Mwanza utasomea mwaka moja tu ada yake ni Millioni tatu kwa huo mwaka moja baada ya hapo hautakaa sana mtaani kwa sababu ajira za Technician certificates na Basic certificates ni rahisi mno kutangazwa na pia kupata ni rahisi ila changamoto yake kwa hizi level wanaajiri wale wasiozidi umri wa miaka 25 tu.


2.Ukishapata ajira yako utajiendeleza mwenyewe au taasisi itakuendeleza(kukusomesha) kama utataka ukiwa ndani ya mfumo tayari na ndio maana ajira za Degree ni shida sababu wakishaajiri hawa wa elimu ya chini mara nyingi wanawaendeleza kielimu wale wachache wanaotaka au waliojiendeleza wenyewe ndio baadae wanakuja kukamata hizo nyadhifa za juu za uongozi hii inatokana na wanaamini watapata good results kutoka kwa wale viongozi waliotokea chini kuliko Degrees ambazo ni fresh from schools.

3.Huku kuna maisha mdogo wangu mimi nimeajiriwa na Basic certificate ila nimejikokota saivi nina Diploma yangu,Degree nawaza kupiga tourism Mgt ili niswitch kutoka wildlife kuingia Tourism nataka nideal na utalii zaidi sasa kuliko doria, Kwaiyo ukiingia huku na elimu yako ya chini hizo Degree utasoma tu hata usijali
Shukran[emoji120]. Naomba nitumie no zako
 
Nipo kwenye hii field kwa miaka nane sasa kwa maana ya kuajiriwa na mojawapo wa hizi taasisi ( TAWA,TANAPA,NCAA),kwaiyo ushauri nitakaokupa uzingatie sana.

1. Ajira za Bachelor Degree kwenye hizi taasisi ni ngumu sana na ni adimu kuzitoa na hata zikitolewa zina competition kubwa sana maana unaweza kuta wanataka watu kumi tu na hizo nafasi zinaweza kutoka kwa interval hata ya miaka mitano hadi saba kwaiyo sasa ushauri wangu kwako kama utaweza achana na kusoma bachelor ya hii course nenda kasome Technician Certificate in Wildlife Management ambacho kinatolewa Chuo cha wanyamapori Pasiansi Mwanza utasomea mwaka moja tu ada yake ni Millioni tatu kwa huo mwaka moja baada ya hapo hautakaa sana mtaani kwa sababu ajira za Technician certificates na Basic certificates ni rahisi mno kutangazwa na pia kupata ni rahisi ila changamoto yake kwa hizi level wanaajiri wale wasiozidi umri wa miaka 25 tu.


2.Ukishapata ajira yako utajiendeleza mwenyewe au taasisi itakuendeleza(kukusomesha) kama utataka ukiwa ndani ya mfumo tayari na ndio maana ajira za Degree ni shida sababu wakishaajiri hawa wa elimu ya chini mara nyingi wanawaendeleza kielimu wale wachache wanaotaka au waliojiendeleza wenyewe ndio baadae wanakuja kukamata hizo nyadhifa za juu za uongozi hii inatokana na wanaamini watapata good results kutoka kwa wale viongozi waliotokea chini kuliko Degrees ambazo ni fresh from schools.

3.Huku kuna maisha mdogo wangu mimi nimeajiriwa na Basic certificate ila nimejikokota saivi nina Diploma yangu,Degree nawaza kupiga tourism Mgt ili niswitch kutoka wildlife kuingia Tourism nataka nideal na utalii zaidi sasa kuliko doria, Kwaiyo ukiingia huku na elimu yako ya chini hizo Degree utasoma tu hata usijali
Mkuu nipo kada ya kilimo nataka nisome BSc environment studies (management) inakubalika maliasili? Vipi nafasi za kuhamia ni rahisi?, Pia ukihamia unaweza kuwa halmashauri ?
 
Mkuu nipo kada ya kilimo nataka nisome BSc environment studies (management) inakubalika maliasili? Vipi nafasi za kuhamia ni rahisi?, Pia ukihamia unaweza kuwa halmashauri ?

Kuna kipindi walikuwa wanazikubali ila hapankaribuni tena naona wamestop kuzirecognize baada ya kuona wengi wanasoma iyo kozi Open halafu wanasubmitt vyeti,

Hauwezi kuwa halmashauri labda uonbe tena kuhamia huko almashauri,hizi Taasisi au Mashirika ya Mali asili na utalii (TANAPA,NCAA,TAWA na TFS) saivi zinajitegemea kuanzia kuajiri hadi mishahara yao kwaiyo hawahusiani kabisa na Halmashauri
 
Kuna kipindi walikuwa wanazikubali ila hapankaribuni tena naona wamestop kuzirecognize baada ya kuona wengi wanasoma iyo kozi Open halafu wanasubmitt vyeti,

Hauwezi kuwa halmashauri labda uonbe tena kuhamia huko almashauri,hizi Taasisi au Mashirika ya Mali asili na utalii (TANAPA,NCAA,TAWA na TFS) saivi zinajitegemea kuanzia kuajiri hadi mishahara yao kwaiyo hawahusiani kabisa na Halmashauri
nina ndugu yangu yupo mweka anasoma degree wildlife management sasa sijui itakuwaje Mungu amsimamie kwakweli aje kupata kazi maana ada 10million afu mtu usote mtaaani kweli
 
Kuna kipindi walikuwa wanazikubali ila hapankaribuni tena naona wamestop kuzirecognize baada ya kuona wengi wanasoma iyo kozi Open halafu wanasubmitt vyeti,

Hauwezi kuwa halmashauri labda uonbe tena kuhamia huko almashauri,hizi Taasisi au Mashirika ya Mali asili na utalii (TANAPA,NCAA,TAWA na TFS) saivi zinajitegemea kuanzia kuajiri hadi mishahara yao kwaiyo hawahusiani kabisa na Halmashauri
Mimi kiko halmashauri ila kada nyingine ndio nilitaka kusoma kozi hiyo, kumbe niachane nayo asee
 
nina ndugu yangu yupo mweka anasoma degree wildlife management sasa sijui itakuwaje Mungu amsimamie kwakweli aje kupata kazi maana ada 10million afu mtu usote mtaaani kweli

Ajira za Wildlife Management ni mara chache sana kuajiriwa moja kwa moja ukiwa na Bachelor kwenye hizi Taasisi, Mara chache Tanapa ndio wanapenda kuajiri moja kwa moja ambapo pia unakuta zimetolewa nafasi 10 za Bachelor ila waombaji wapo hata Elfu moja kwaiyo ni changamoto kidogo,

Mara nyingi hizi taasisi zinaajiri kada za chini kwa maana ya Basic na Technician Certificate halafu wanawaendeleza na kuja kuwa maafisa au viongozi wa baadae,Exceptional ipo kwa TFS mara nyingi ndio huajiri hao Bachelor moja kwa moja

Mwambie kijana apambane apate kwanza cheti maana MWEKA hadi mwanafunzi anamaliza pale Pesa ya Harrier New Model anakuwa ameiacha pale,

Asiangalie Serikalini tu kuna taasisi binafsi kama FZS,WWF,VIP,MWIBA,WCS na zingine nyingi zinaajiri pia tena huko ndio kuna maisha kuliko hata huku Serikalini,mimi nina jamaa yangu tulikuwa naye huku ana Diploma alipopata shavu tu huko WCS Basic salary per month ni USD 4500 bado posho na unavojua posho huwa nyingi kuliko salary
 
Ajira za Wildlife Management ni mara chache sana kuajiriwa moja kwa moja ukiwa na Bachelor kwenye hizi Taasisi, Mara chache Tanapa ndio wanapenda kuajiri moja kwa moja ambapo pia unakuta zimetolewa nafasi 10 za Bachelor ila waombaji wapo hata Elfu moja kwaiyo ni changamoto kidogo,

Mara nyingi hizi taasisi zinaajiri kada za chini kwa maana ya Basic na Technician Certificate halafu wanawaendeleza na kuja kuwa maafisa au viongozi wa baadae,Exceptional ipo kwa TFS mara nyingi ndio huajiri hao Bachelor moja kwa moja

Mwambie kijana apambane apate kwanza cheti maana MWEKA hadi mwanafunzi anamaliza pale Pesa ya Harrier New Model anakuwa ameiacha pale,

Asiangalie Serikalini tu kuna taasisi binafsi kama FZS,WWF,VIP,MWIBA,WCS na zingine nyingi zinaajiri pia tena huko ndio kuna maisha kuliko hata huku Serikalini,mimi nina jamaa yangu tulikuwa naye huku ana Diploma alipopata shavu tu huko WCS Basic salary per month ni USD 4500 bado posho na unavojua posho huwa nyingi kuliko salary
shukrani mkuu
 
Nipo kwenye hii field kwa miaka nane sasa kwa maana ya kuajiriwa na mojawapo wa hizi taasisi ( TAWA,TANAPA,NCAA),kwaiyo ushauri nitakaokupa uzingatie sana.

1. Ajira za Bachelor Degree kwenye hizi taasisi ni ngumu sana na ni adimu kuzitoa na hata zikitolewa zina competition kubwa sana maana unaweza kuta wanataka watu kumi tu na hizo nafasi zinaweza kutoka kwa interval hata ya miaka mitano hadi saba kwaiyo sasa ushauri wangu kwako kama utaweza achana na kusoma bachelor ya hii course nenda kasome Technician Certificate in Wildlife Management ambacho kinatolewa Chuo cha wanyamapori Pasiansi Mwanza utasomea mwaka moja tu ada yake ni Millioni tatu kwa huo mwaka moja baada ya hapo hautakaa sana mtaani kwa sababu ajira za Technician certificates na Basic certificates ni rahisi mno kutangazwa na pia kupata ni rahisi ila changamoto yake kwa hizi level wanaajiri wale wasiozidi umri wa miaka 25 tu.


2.Ukishapata ajira yako utajiendeleza mwenyewe au taasisi itakuendeleza(kukusomesha) kama utataka ukiwa ndani ya mfumo tayari na ndio maana ajira za Degree ni shida sababu wakishaajiri hawa wa elimu ya chini mara nyingi wanawaendeleza kielimu wale wachache wanaotaka au waliojiendeleza wenyewe ndio baadae wanakuja kukamata hizo nyadhifa za juu za uongozi hii inatokana na wanaamini watapata good results kutoka kwa wale viongozi waliotokea chini kuliko Degrees ambazo ni fresh from schools.

3.Huku kuna maisha mdogo wangu mimi nimeajiriwa na Basic certificate ila nimejikokota saivi nina Diploma yangu,Degree nawaza kupiga tourism Mgt ili niswitch kutoka wildlife kuingia Tourism nataka nideal na utalii zaidi sasa kuliko doria, Kwaiyo ukiingia huku na elimu yako ya chini hizo Degree utasoma tu hata usijali
Well informed
 
Back
Top Bottom