Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwaje hiyo,niliwahi kua nayo kipindi flani ,siikumbukiUko unaendesha? Makinika barabarani kuendeshea huku unachat
The best way kuna app itakuonyesha kila mahali walipo na itakupa alart kilometre kadhaa
leo barabara yote nyeupe nyoosha goti ufute kisahani mkuu. usisahau kutupa mrejesho ukifikaHabari wana JF
Naomba kujua maeneo walipo traffic wa barabarani
-Torch
-Checkpoint.
Barabara ya Moshi-Dar
Asanteni
wapo kiwangwa mbele pale, sijui jina la kile kijiji ila wale ni Polisi tu , check point ya mazao iko pale Kiwangwa mjini, ukitoka hapo barrier nyingine kama ni usiku utakutana nayo pale Polisi Mkata, wale wako barabarani wale wana deal na malori zaidi ila hata magari madogo sometimes wanacheki, ukitoka hapo check point nyingine utakutana nayo pale mbele ya Korogwe, karibu na hotel ya Mabasi ya Kilimanjaro, nyingine ambayo wanakagua sana iko kabla ya kufika Mombo nadhani ni chekelei (check Rail/Train)pale na nyingine iko mbele ya kupita Mombo hasa usiku, panaitwa Liverpool. Baada ya hapo utakutana nao Same ila hawana sumu sanaHabari wana JF
Naomba kujua maeneo walipo traffic wa barabarani
-Torch
-Checkpoint.
Barabara ya Moshi-Dar
Asanteni
speedmeterInaitwaje hiyo,niliwahi kua nayo kipindi flani ,siikumbuki
Umesahau kabuku ngoma ngumu palewapo kiwangwa mbele pale, sijui jina la kile kijiji ila wale ni Polisi tu , check point ya mazao iko pale Kiwangwa mjini, ukitoka hapo barrier nyingine kama ni usiku utakutana nayo pale Polisi Mkata, wale wako barabarani wale wana deal na malori zaidi ila hata magari madogo sometimes wanacheki, ukitoka hapo check point nyingine utakutana nayo pale mbele ya Korogwe, karibu na hotel ya Mabasi ya Kilimanjaro, nyingine ambayo wanakagua sana iko kabla ya kufika Mombo nadhani ni chekelei (check Rail/Train)pale na nyingine iko mbele ya kupita Mombo hasa usiku, panaitwa Liverpool. Baada ya hapo utakutana nao Same ila hawana sumu sana
sijui nimeisahauje, kuna Kabuku na pale mbele Mbwewe ( kwa malori), Kabuku unawapa tu chupa ya maji na sound kidogo, wale jamaa wana njaa sanaU
Umesahau kabuku ngoma ngumu pale
Ova
Hahaha hmna mkuu kma imekutokea utajua nini maana ya kujua walipo mapemaUnataka kufanya uhalifu gani?
Polisi endeleeni kuwa MAKINI.
Usife leo tuNakula chalinze tu staki shida uko bagamoyo
Share hiyo appUko unaendesha? Makinika barabarani kuendeshea huku unachat
The best way kuna app itakuonyesha kila mahali walipo na itakupa alart kilometre kadhaa
Huna haya ya kujuwa traffic wako wapi, fuata sheria angalia alama za barabarani hasa vibao vya speed na mistari ya overtake au usiover take huwezi kukamatwa hata siku moja na ukisimamishwa ni ukaguzi wa kawaida tu unaruhusiwa hutoi hata senti tano.Habari wana JF
Naomba kujua maeneo walipo traffic wa barabarani
-Torch
-Checkpoint.
Barabara ya Moshi-Dar
Asanteni