Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Sasa hofu ya nini? Hata mbele ya mkeo si utasema hivyo hivyo?Mkuu mi sikuona ubaya wowote kwa huyu Binti hajaolewa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hofu ya nini? Hata mbele ya mkeo si utasema hivyo hivyo?Mkuu mi sikuona ubaya wowote kwa huyu Binti hajaolewa
Aisee!Unamshauri baharia wa nchi kavu hivyo kweli?Tunaandaa mashada ya maua ya miba!Halafu,ulikuwa wapi weye muheshimiwa?Mbona unapotea sana?Sasa hofu ya nini? Hata mbele ya mkeo si utasema hivyo hivyo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huo ni uchonganishi. Ila jamaa eti alikubali amechepuka khaaSasa hofu ya nini? Hata mbele ya mkeo si utasema hivyo hivyo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndio dawa yenu sasa hivi kudadadeki zenuAisee!Unamshauri baharia wa nchi kavu hivyo kweli?Tunaandaa mashada ya maua ya miba!Halafu,ulikuwa wapi weye muheshimiwa?Mbona unapotea sana?
Kikao kijacho atasimamishwa uanachama.Bado hajakariri katiba.Huo ni uchonganishi. Ila jamaa eti alikubali amechepuka khaa
Iweni na huruma wajemeni!Dah!😝😝😝😝
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ye si aliona jambo dogo tuHuo ni uchonganishi. Ila jamaa eti alikubali amechepuka khaa
Tuendelee kumfunda au tumuache kidogo aogeshwe petroli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ye si aliona jambo dogo tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anzeni ninyi kuwa na hurumaIweni na huruma wajemeni!Dah![emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] imeisha hiyo, jiandaeni kuchimba kaburiTuendelee kumfunda au tumuache kidogo aogeshwe petroli?
Mimi nina huruma kitambo sana.Ngoja tumkaririshe "katekisimu" yetu huyu mkuu.Anatukwamisha sehemu.
[emoji1787][emoji1787] too lateMimi nina huruma kitambo sana.Ngoja tumkaririshe "katekisimu" yetu huyu mkuu.Anatukwamisha sehemu.
Wanaume wote siku hiyo tutakuwa na kikao cha tafakari na maazimio tukisindikizia mvinyo.Itakuwa zamu yenu kuchimba "nyumba ya milele"![emoji1787][emoji1787][emoji1787] imeisha hiyo, jiandaeni kuchimba kaburi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wanajukwaa heri ya kumaliza mwaka 2021 na Mungu awajalie tuweze kuona mwaka 2022.
Wakuu nisiwachoshe mimi nina mchepuko wangu ambao umenipenda kupindukia hata sijui nieleze vipi na huu ni mwaka wa sita tuko kwenye mahusiano.
Huyu mchepuko wangu wako mapacha tena wa kufanana na wamefanana kweli ila mwenzake ameolewa.
Sasa Kuna wahuni waliniona niko na mtu wangu na inaonesha huyu mhuni hawawajui vizuri hawa pacha na akapenyeza habari kwa jamaa kuwa mkeo anatoka na mhakiki. Jamaa amemaindi balaa timbwili lake asha ngedele Cha mtoto.
Nimetumia njia za kidplomasia kutatua huu mgogoro ikashindikana.
Shemeji yake ambaye ni mchepuko wangu amefika mbele ya kikao kueleza ukweli kuwa yeye ana mahusiano na Mimi jamaa haelewi na ana mpango wa kuja kuonana na mke wangu.
Naombeni ushauri akija nifanye nini?
Kweli kabisa MkuuCode for gentlemen:
Kamwe usikubali kabisa kukiri kosa la kuchepuka.
Hata Kama umekutwa live katikati ya mapaja ya mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Ammege Mwanaume mwenzake?,Au Mimi ndo sijaelewa?!!.Busara za kazi gani wakati kakuambia anakuja. Akija mmege
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume wote siku hiyo tutakuwa na kikao cha tafakari na maazimio tukisindikizia mvinyo.Itakuwa zamu yenu kuchimba "nyumba ya milele"!
Na jambo jema ni kuwa:Ukikataa katakata,unasamehewa.😂😂😂Siku ukijifanya mwema ukakiri kosa ndo siku utakuwa umetia sahihi death warrant yako.
Mwanaume hata ukutwe unamwaga wachina kwenye tundu la mwanamke mwingine, kosa kubwa utakalofanya ni kukiri kosa.
That kills a woman kuliko chochote. Mara mia ukatae kuliko kukiri kosa.
Wanajukwaa heri ya kumaliza mwaka 2021 na Mungu awajalie tuweze kuona mwaka 2022.
Wakuu nisiwachoshe mimi nina mchepuko wangu ambao umenipenda kupindukia hata sijui nieleze vipi na huu ni mwaka wa sita tuko kwenye mahusiano.
Huyu mchepuko wangu wako mapacha tena wa kufanana na wamefanana kweli ila mwenzake ameolewa.
Sasa Kuna wahuni waliniona niko na mtu wangu na inaonesha huyu mhuni hawawajui vizuri hawa pacha na akapenyeza habari kwa jamaa kuwa mkeo anatoka na mhakiki. Jamaa amemaindi balaa timbwili lake asha ngedele Cha mtoto.
Nimetumia njia za kidplomasia kutatua huu mgogoro ikashindikana.
Shemeji yake ambaye ni mchepuko wangu amefika mbele ya kikao kueleza ukweli kuwa yeye ana mahusiano na Mimi jamaa haelewi na ana mpango wa kuja kuonana na mke wangu.
Naombeni ushauri akija nifanye nini?
Unataka akatwe shingo?Kuwa na huruma.Mchepuko mwaka wa sita!? Halalisha tuu uepuke dhambi