Naombeni ushauri akija nifanye nini?


Siku ukijifanya mwema ukakiri kosa ndo siku utakuwa umetia sahihi death warrant yako.

Mwanaume hata ukutwe unamwaga wachina kwenye tundu la mwanamke mwingine, kosa kubwa utakalofanya ni kukiri kosa.

That kills a woman kuliko chochote. Mara mia ukatae kuliko kukiri kosa.
 
Na jambo jema ni kuwa:Ukikataa katakata,unasamehewa.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Mchepuko mwaka wa sita!? Halalisha tuu uepuke dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…