Naombeni ushauri akija nifanye nini?

Hapo wa kumalizana nae n huyo mchepuko. Kule unakubali is your side chick lakini mbele ya mkeo unakataaa huwajua kabisa.


But cheating is bad thing. Kwanini usitulie na mke wako??

Weee unaweza 365 kula nyama tu ama maharage tu? Acha unafiq
 
Kwa kuwa ulishakiri huko nje usibadili msimamo kubali ni kweli ni mchepuko wako kisha omba msamaha kwa mkeo .Hatuyaondoi makosa kwa kuzuga bali kuyakiri na kuahidi kuacha toka moyoni hapo ndipo tunafanikiwa.We mwombe Mungu na mwambie umeamua kuacha na hivyo upo tayari kukiri hilo mbele za watu hao na itakuwa imeishia hapo ,suala la utaonekanaje hilo ndilo hutakiwi kulipa kipaumbele maana heri ya aliyebadili mwenendo wake kuwa chanya kuliko asiyekiri huku akizama dhambini.
 
Kwanza unatakiwa utambue kwamba zinaa ni uchafu

,yule mwanaume akija tu kwa mkeo na akazungumza mwambie mkeo akungulie kesi mke wa jamaa kwa kutembea na mume wa mtu ambae ni ww.
 
Nashukuru Mkuu
 
Story za kitoto hizi unaanza mwaka kwa utoto huu, wewe na huyo mme mwenzio wote bado mnaakili za kitoto
 
An intelligent person solves problems while a smart one avoids them.

Uamuzi na uchaguzi ni wako.

#kataawahuni
 
We utakua kweli umekula mke wa mtu, ila mnamtumia pacha wake kuhamisha magoli ili kunusuru ndoa ya dada mtu.
 
Hapo wa kumalizana nae n huyo mchepuko. Kule unakubali is your side chick lakini mbele ya mkeo unakataaa huwajua kabisa.


But cheating is bad thing. Kwanini usitulie na mke wako??
Umewahi kuona maharage yaliyo motoni yametulia? Ndivyo tulivyo wanaume
 
We utakua kweli umekula mke wa mtu, ila mnamtumia pacha wake kuhamisha magoli ili kunusuru ndoa ya dada mtu.
Hakuna kitu naogopa na kuheshimu kama mke wa mtu mkuu
 
Acha wanawake wamalizane wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…