Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

Sasa hii career ya HIV kwa nini isitumike kujiingizia kipato?
 
Dawa ni kupima na huwezi kujua kama anao maana dalili za HIV no tofauti na malaria,mpaka ujue hapo inakuwa muathirika amefikia hatua mbaya,nenda kapime acha kubeep beep
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…