Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu rudia vipimo
 
Nipo fresh pia
naomba tutembeleane
weekend hii.
 
...kuendekeza njaa utaendelea kutombwatombwa hovyo ufe kwa stress!
..get a life,bitch!
[emoji34]
Thanks for the advice [emoji120] [emoji120]

Mkuu nitajitahid though sio easy ila hakuna namna , Thanks kwa ushauri

Kwani lazima uwe nae huyo?kama hataki kupima maana yake anajua nyendo zake na zinamtia shaka.Sasa wewe unakomaa na ngoma unaogopa na kondomu umechoka?ajabu hii..

Vizuri, naona unatoa ushauri wa jinsi ya kumtambua mwenye HIV kwa macho.

Kama umeshazini nae Nenda tu kwa doctor

Hahahaa! Kama wanaume mmeanza kugoma kwenda kupima unadhani atafanyaje?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] mkuu sasa hiyo nyeto c ndo mbaya zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…