Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

Naombeni Ushauri: Dalili za mtu ambaye ni HIV carrier

Jamani nashukuru kwa wote mlonipa ushauri chanya na mlio nikejeli pia I've made my decision, nimemwambia kama hawezi kucheck afya yake Mimi na yeye basi na mpaka dk hii hajareply .. Ila mm do nimeshatoa LA moyoni.. Thanks All japo sio easy imehitaji ujasiri
Mwambie aache woga Akapime,inalipa.
[emoji34]
 
Mapenzi hayo kafa kaoza

Kuna wimbo ulitoka miaka ya nyuma sana wa "Nibebeshe Ukimwi Nihangaike Nao", huu wimbo ungedhani ni matani lakini kumbe ni mambo ya kweli kabisa.

Ila waliufungia huu wimbo, ilikuwa ni style wao waliita Segere.
 
Hofu uliyo nayo pia ni dalili ya kuwa na HIV mkuu.
[emoji470] [emoji470] [emoji470] nduki !!!!!
 
Angalia status take WhatsApp utajua tu kama in carrier au VP





HIV kwan ukimwi unaweza kupimwa kwa macho eeeh[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Habari wakati huu,

Mimi naombeni ushauri nitamjuaje mtu mwenye HIV carrier au ni dalili zipi zinaonyesha mtu mwenye HIV carrier.

Nasubiri ushauri

Kama hana dalili zozote huwezi kumtambua kwa macho!..
Njia pekee ni kupima at least mara mbili ukiacha nafasi ya muda wa miezi 3 baada ya kupima kwa mara ya kwanza!.
Na hata kama anadalili wewe huwezi kuzitambua kama sio daktari,na hata daktari atahisi na mwishoni njia pekee kugundua ni kipimo tu!..
 
Ukiona kanenepa saaana ujue anangoma... Ukiona anakupa hela saana ujue anangoma. Ukiona anakula sana matunda na mboga za majani. Basi ujue huo ni ushauri wa daktali kashafwaliki huyo.... Haya sema lingine tukupe ushauri
Hahahaaaa.... Dah
 
Hahahah jmn kuumwa kichwa Mara kwa Mara ni dalili ya HIV haaaah msitufanyie ivyo mie kla siku naumwa kichwa na nimepima karibu Mara nne kila baada ya miezi mitatu Mara ya mwisho ni mwezi wa 11mwaka jna na nikawa Niko fresh,aya sasa wewe unaesema kuumwa na kichwa ni dalili inakuwaje munatuchosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kapime na macho. Take it serious
 
Back
Top Bottom