GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Ndugu wanajamvi heshima kwenu.
Ndugu wanajamvi naombeni ushauri juu ya jambo hili ambalo limekuwa kama mzigo kichwani kwangu. Nina rafiki zangu wawili mmoja anafanya biashara za kusafiri na huyu mwingine anafanya kazi hapa hapa Dar kitengo fulani kule bandarini. Huyu mwenzetu anayesafiri ameoa sisi wawili ni Bachelors. Lakini kuna kitu nimekigundua hivi karibuni, huyu rafiki yangu anayefanya kazi bandarini ameanzisha uhusiano na mke wa yule mwenzetu ambaye anasafiri na wote wawili yaani yule mwanamke na yule wa bandarini wameshajua kuwa nimewagundua. Najihisi kumchukia huyu rafiki yangu wa bandarini, namchukia mpaka nakosa raha lakini sijui nifanye nini! kama kuna umuhimu wa kumweleza yule rafiki yangu mwenye mke au vinginevyo naomba mnishauri ndugu zangu.
Ndugu wanajamvi naombeni ushauri juu ya jambo hili ambalo limekuwa kama mzigo kichwani kwangu. Nina rafiki zangu wawili mmoja anafanya biashara za kusafiri na huyu mwingine anafanya kazi hapa hapa Dar kitengo fulani kule bandarini. Huyu mwenzetu anayesafiri ameoa sisi wawili ni Bachelors. Lakini kuna kitu nimekigundua hivi karibuni, huyu rafiki yangu anayefanya kazi bandarini ameanzisha uhusiano na mke wa yule mwenzetu ambaye anasafiri na wote wawili yaani yule mwanamke na yule wa bandarini wameshajua kuwa nimewagundua. Najihisi kumchukia huyu rafiki yangu wa bandarini, namchukia mpaka nakosa raha lakini sijui nifanye nini! kama kuna umuhimu wa kumweleza yule rafiki yangu mwenye mke au vinginevyo naomba mnishauri ndugu zangu.