thx dia so kwako umri huo si tatizo eti eeeeeeeeh?
umri jamani tusione kama sio kikwazo kiivyo,tukubali na ukweli tu!tofauti ya umri ikizidi sana ni kiwazo katika mahusiano kwani mnakuwa mnapishana mengi kimtazamo!matokeo yake ndo kama hivyo, unaolewa na kibabu na bado unatafuta mtu wa kukumalizia hamu yako ya ngono nje!
thx for ur advise dia be blessed,kiukweli tulikuwa tunaomba sana Mungu maana she is my best friend so I knw alivyokuwa anajiskia kwakweli
Naombeni ushauri wenu jamani,mimi ni msichana wa miaka 27 sasa,kwakweli nimekuwa nikimuomba Mungu sana anipe mume mwema,mwenye kunijali,kuniheshimu kunipenda mm na familia yangu,ingawa kuna mkaka nimekuwa nikimdate for 3yrs sasa lkn namuona hayuko serious yani mfano wote tuko dar mwezi mzima hatuonani ukiuliza eti ni ubusy,wknd wala haulizi niko wapi au na nani,miaka yote hii familia yake hakuna hata anaenifahamu lkn mm kwetu watu wooote wanamfahamu,kuhusu ndoa anasema yy bado yupo yupo sanaaaaaaaaaaaaa,kiukweli sitaki kuwaza kama ana cheat yy na Mungu wake ndo wanajua,sasa ni mwezi wa pili sasa nimepata mtu anaenipenda sana na kunijali mm na familia yangu na anasema yuko tayari kunioa yy anamiaka 45,sasa jamani je niolewe na huyu labda Mungu kajibu maombi yangu,na yule mwingine nimwambiaje?je umri nao si kikwazo?naombeni ushauri wenu .
NB:SI MM JAMANI NI RAFIKI YANGU KANITUMIA HIYO MAIL NIMEEDIT KIDOGO.
Mbona kazi ipo.45yrs tayari anaitwa babu?
Please, be very careful.......! Huyo ambaye yuko busy si wake. Na huyu mwenye miaka 45, wakati yeye ana miaka 27 naye siye.....!
Please, note that "May be God wants us to meet a few wrong people before meeting the right one so that when you finally meet the right person you will know how to be grateful for that gift".
Please, be very careful.......! Huyo ambaye yuko busy si wake. Na huyu mwenye miaka 45, wakati yeye ana miaka 27 naye siye.....!
Please, note that "May be God wants us to meet a few wrong people before meeting the right one so that when you finally meet the right person you will know how to be grateful for that gift".
Please, be very careful.......! Huyo ambaye yuko busy si wake. Na huyu mwenye miaka 45, wakati yeye ana miaka 27 naye siye.....!
Please, note that "May be God wants us to meet a few wrong people before meeting the right one so that when you finally meet the right person you will know how to be grateful for that gift".
Mwanamke 27 : Mwanaume 45 - Hapo hamna ndoa bali ni mkataba tu wa "Sogea Tuishi":
Hivi Marubani wa Ndege uwa hawaoi? Najaribu ku-imagine "u-busy" wao!
Je inatakiwa kuonana na mchumba wako mara ngapi kwa mwezi? kwa wiki? Nadhani lazima tukubali kuwa "frequencies" za kuonana does not necessarily signifies TLC...
Mwanamke 27 : Mwanaume 45 - Hapo hamna ndoa bali ni mkataba tu wa "Sogea Tuishi":
Hivi Marubani wa Ndege uwa hawaoi? Najaribu ku-imagine "u-busy" wao!
Je inatakiwa kuonana na mchumba wako mara ngapi kwa mwezi? kwa wiki? Nadhani lazima tukubali kuwa "frequencies" za kuonana does not necessarily signifies TLC...
Mhhhh :confused2:Clarification please
yupi ndie sasa? hao 30's waoga kuoawa,hawasemi kweli wanaishia kusema bado wapo wapo... mdada hakuna cha age hapo, olewa kama umeridhika na muoaji, utakaa useme upate huyo wa age mnayoendana akawa utata mtupu, olewa kama unamuona baby anakufaa.
Tena ndo hawa hwa wanatoga ushauri hapa na kusema wanaume 30's washaoa karibu wote.Na leo wanasema 45 ni kibabu....Na mie naunga mkono mdada aolewe kama conditions nyingine zipo ok.yupi ndie sasa? hao 30's waoga kuoawa,hawasemi kweli wanaishia kusema bado wapo wapo... mdada hakuna cha age hapo, olewa kama umeridhika na muoaji, utakaa useme upate huyo wa age mnayoendana akawa utata mtupu, olewa kama unamuona baby anakufaa.
very true!!!Hahahahaaa...hili jukwaa bana. Hakuna jipya....same shit different day(s)
Naombeni ushauri wenu jamani,mimi ni msichana wa miaka 27 sasa,kwakweli nimekuwa nikimuomba Mungu sana anipe mume mwema,mwenye kunijali,kuniheshimu kunipenda mm na familia yangu,ingawa kuna mkaka nimekuwa nikimdate for 3yrs sasa lkn namuona hayuko serious yani mfano wote tuko dar mwezi mzima hatuonani ukiuliza eti ni ubusy,wknd wala haulizi niko wapi au na nani,miaka yote hii familia yake hakuna hata anaenifahamu lkn mm kwetu watu wooote wanamfahamu,kuhusu ndoa anasema yy bado yupo yupo sanaaaaaaaaaaaaa,kiukweli sitaki kuwaza kama ana cheat yy na Mungu wake ndo wanajua,sasa ni mwezi wa pili sasa nimepata mtu anaenipenda sana na kunijali mm na familia yangu na anasema yuko tayari kunioa yy anamiaka 45,sasa jamani je niolewe na huyu labda Mungu kajibu maombi yangu,na yule mwingine nimwambiaje?je umri nao si kikwazo?naombeni ushauri wenu .
NB:SI MM JAMANI NI RAFIKI YANGU KANITUMIA HIYO MAIL NIMEEDIT KIDOGO.
hapo kwenye blue kuwa makini sana bado ni mapema mno kusema ankupenda saaaaaanaNaombeni ushauri wenu jamani,mimi ni msichana wa miaka 27 sasa,kwakweli nimekuwa nikimuomba Mungu sana anipe mume mwema,mwenye kunijali,kuniheshimu kunipenda mm na familia yangu,ingawa kuna mkaka nimekuwa nikimdate for 3yrs sasa lkn namuona hayuko serious yani mfano wote tuko dar mwezi mzima hatuonani ukiuliza eti ni ubusy,wknd wala haulizi niko wapi au na nani,miaka yote hii familia yake hakuna hata anaenifahamu lkn mm kwetu watu wooote wanamfahamu,kuhusu ndoa anasema yy bado yupo yupo sanaaaaaaaaaaaaa,kiukweli sitaki kuwaza kama ana cheat yy na Mungu wake ndo wanajua,sasa ni mwezi wa pili sasa nimepata mtu anaenipenda sana na kunijali mm na familia yangu na anasema yuko tayari kunioa yy anamiaka 45,sasa jamani je niolewe na huyu labda Mungu kajibu maombi yangu,na yule mwingine nimwambiaje?je umri nao si kikwazo?naombeni ushauri wenu .
NB:SI MM JAMANI NI RAFIKI YANGU KANITUMIA HIYO MAIL NIMEEDIT KIDOGO.