Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
Forget about wa kwanza, mzushi hana akili hata moja, kwa huyo wa pili tunahitaji kujua mengi? alishawahi oa akaacha? alifiwa mke? ana watoto? kama alifiwa mke go for him, kama aliacha mke, mwangalie huyo ni kizunguruka moto achana nae subiri Mungu akupe wako.
Fanya consultation na roho yako, na ufanye vile unavyofikiria.
All the best
Fanya consultation na roho yako, na ufanye vile unavyofikiria.
All the best