Mkuu vijana hawa tuwaache kama walivyo , hata hakuelewa mantiki yangu , alichofanya ni kukumbuka shughuli zake za kichawi na babu yake shamba huko , honestly sijaelewa maana zaidi ya hiyoKwann amekuwa mchaw?
SawaMkuu vijana hawa tuwaache kama walivyo , hata hakuelewa mantiki yangu , alichofanya ni kukumbuka shughuli zake na babu yake shamba huko , honestly sijaelewa maana ya kuniita mi mchawi
Ukiachana na hayo ujenzi pia una raha yake ndo Mana napenda kushauri lolote ninalolijua kuhusu ujenzi , I'm not the best at it Ila kwenye ku save nipo vzr , hapa nina ujenzi darasa kongowe huko target yangu nataka nihamie kwenye nyumba bila kuspend 10 million. Nilifanikiwa naleta mrejesho
Nashauri kama una eneo la kutosha bora ujenge underground tank la ukubwa utakaotosheleza matumizi ya muda unaotaka , niliwahi kuishi kwenye nyumba yenye tank la kujengewa ardhini nilisahau kabisa shida ya maji kwa kipindi nilichoishi hapo, ukivuna msimu mmoja unatumia mda mrefu kulingana na ukubwa wa tank utakalojenga.Kutokana na kipind hch maji changamoto nikuleta boza na kuniwekea maji na mvua ikinyesha itasaidia pia
Nachukua ushau wakoNashauri kama una eneo la kutosha bora ujenge underground tank la ukubwa utakaotosheleza matumizi ya muda unaotaka , niliwahi kuishi kwenye nyumba yenye tank la kujengewa ardhini nilisahau kabisa shida ya maji kwa kipindi nilichoishi hapo, ukivuna msimu mmoja unatumia mda mrefu kulingana na ukubwa wa tank utakalojenga.
Chukua simtankNatumaini wote mko poa Wana Jf..
Nataka kuanza ujenzi ila eneo la kiwanja maji ni changamoto. Naombeni ushauri ninunue simtank au nijenge Kalo ili niweze kuhifadhi maji na ipi hautakuwa na gharama?
Fuata ushauri huu. Hii kanuni bora kabisa kama unataka kusave gharama zisizokuwa na ulazimaMie ujenzi wangu wa kwanza nilifanya kuchimba chemba ndogo ya choo (maji taka) kwanza kisha ndio nikawa nahifadhia maji kipindi chote cha ujenzi nilipomaliza ndio nikanunua matenki ya juu baada ya kuanza kufunga mifumo ya maji na shimo nikalitumia kwa kazi yake husika
Mpk leo mradi wowote wa ujenzi natumia kanuni hiyo hiyo
Unamaanisha Karo la Choo?Fuata ushauri huu. Hii kanuni bora kabisa kama unataka kusave gharama zisizokuwa na ulazima
Jenga septic tank ndio ulitumie kuhifadhi maji wakati wa ujenzi, ukimaliza ujenzi ufanye mchakato mwingine mfano ujenge underground tank, foundation yake chini inaingia kozi tatu za tofali kuanzia usawa wa ardhi pandisha kozi nne.Unamaanisha Karo la Choo?
Hujaelewa. Lile septic tank unalijenga kabla ya nyumba wala kuliunganisha na mfumo wa maji taka. Unalitumia kama hifadhi ya maji mpk hapo unapomaliza ujenzi ndio unaliunga na mfumo wa majitakaUshauri mwingine jamani! Eti septic tank utumie kuhifadhi maji ya kujenga! Khaaaaa! Hiyo nyumba si itanuka hadi Kenya huko wapate harufu.
Fuata ushauri wa fundi wakoNatumaini wote mko poa Wana Jf..
Nataka kuanza ujenzi ila eneo la kiwanja maji ni changamoto. Naombeni ushauri ninunue simtank au nijenge Kalo ili niweze kuhifadhi maji na ipi hautakuwa na gharama?
smart. Unaua ndege wawili kwa jiwe moja,sim tank pia ni risk kama eneo halina usalamawahuni wanabeba. I did the same.Mie ujenzi wangu wa kwanza nilifanya kuchimba chemba ndogo ya choo (maji taka) kwanza kisha ndio nikawa nahifadhia maji kipindi chote cha ujenzi nilipomaliza ndio nikanunua matenki ya juu baada ya kuanza kufunga mifumo ya maji na shimo nikalitumia kwa kazi yake husika
Mpk leo mradi wowote wa ujenzi natumia kanuni hiyo hiyo
Ubora jeNunua simtank, baada ya ujenzi litakusaidia kuifadhia maji ya familia, ushauri wangu nunua simtank ambalo hata kwa baadae litasaida kwenye familia, usinunue dogo sana angalau mil 5000 au 3000
Nondo sinaona ufafanuz nzuriGharama za kuchimba na kujenga shimo
1. Tofali 300-400 = 400,000/=
2. Kuchimba shimo 150k -200k
3. Cementi mifuko 10 x 18,000 = 180,000
4. Fundi kujenga tofali 150,000
5. Hupiga plasta 60,000
6. Water proof cement 10x5000
7. Wire mesh 8 x 20,00p
Bado kufunika juu