Naombeni ushauri jinsi ya kudeal na huyu jamaa anayeniomba omba hela

Naombeni ushauri jinsi ya kudeal na huyu jamaa anayeniomba omba hela

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Hello humu jf,

Hebu tusaidiane mawazo na mtizamo huyu mtu ananiona vipi?

Mimi ni kijana na umri wangu miaka 28 sijao

Sasa kuna mwana kitaa hapa ninapoishi yeye ameoa na mtoto mmoja umri wake ni kama miaka 22.

Huyu jamaa kucha kila siku kunipiga vizinga mara oho dogo anaumwa nimpe hela ooh mara leo sielewi familia itakula nimpe hela na sio kwamba ni mkopo wala nini yaan ni msaaada ndo anaomba

Huwa namsaidia nikiwa nayo ila naona its too much,maana na mimi pia natakiwa kuwa na maisha yangu

Ushauri how to deal na mtu wa hivyo in good way
 
Achana na habari za kuoa changa vibunda zaidi utaoa tu ukizinasa
1738839487976.jpg
 
Hello humu jf,

Hebu tusaidiane mawazo na mtizamo huyu mtu ananiona vipi?

Mimi ni kijana na umri wangu miaka 28 sijao

Sasa kuna mwana kitaa hapa ninapoishi yeye ameoa na mtoto mmoja umri wake ni kama miaka 22.

Huyu jamaa kucha kila siku kunipiga vizinga mara oho dogo anaumwa nimpe hela ooh mara leo sielewi familia itakula nimpe hela na sio kwamba ni mkopo wala nini yaan ni msaaada ndo anaomba

Huwa namsaidia nikiwa nayo ila naona its too much,maana na mimi pia natakiwa kuwa na maisha yangu

Ushauri how to deal na mtu wa hivyo in good way
Jaman sipendi kuombwa hela na watu wa ajabu ajabu, unakuta mtu mmekutana instagram au facbk, anakuchatisha mwisho wa siku anakuomba hela nachukia sanaa
 
Hata Mimi Kuna jamaa aliniletea hizo itakadi hapa kitaa mara ya kwanza nilikuwa namsapoti kwasababu ni kijana mwenzangu.

Sasa shida zake haziishi ukikutana nae mara naomba buku Tano mara buku ten.

Sometimes ananifata na mm ntakuwa na matatizo yangu makubwa ambayo siendi kumlalamikia mtu napambana mwenyewe, ila yeye kila siku matatizo hayaishi hakuna hata siku moja amepata

Jioni namuona group anacheza Mpira tena anajiita middle...


Maza faka asaivi kila akiniomba nasema kwa upole sina kitu kaka
 
Mwak fln nlkuw na mwana alikuwa na mke namtoto iwas 19yors
yule jamaa aliyumba sana mkewake akawaanafata matumizi kijiweni kwangu enzi hizo nlkuwa naps .. Najamaa ndo alkuwa anamtuma ila mwisho wasiku nikamtaftia kajob fln mda huo nasklizia nirudi chuoni nimwachie pale ila baada ya curecover shida zake akaanza kuhisi namtumia mke wake. Kua makini mkuu hadi leo hatuongei na mwana.
 
Back
Top Bottom