Gustavo Gaviria
JF-Expert Member
- Nov 19, 2018
- 630
- 1,113
Jacktan hana tamaa kabisa mkuuKupatana Sehemu ya kipumbavu Sana yaani kuwa Makini sana ishaniweka Siku 10 ndani kwa ajili ya Vitu Used hivi.
Naona insta ni sehemu sahihi sana kwa ajili ya kupata Gari nzuri hasa Mfatilie jamaa anaitwa Jacktan_Safari huyu huwa anakuunga na mwenye Mali directly sijawahi fanya nae biashara ila naona jamaa hana Tamaa.