Naombeni ushauri juu ya hili

Aunty kemmy

Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
46
Reaction score
23
Nataka kuanza biashara ya kutengeneza na kuuza unga wa lishe kwa watoto na wakubwa. Sasa changamoto nilonayo ni pa kupata vifungashio vya unga. Na pia soko lake nalifanya vipi ili niuze unga wangu vizuri. Na je process zikoje ili nipate vibali vya kuuza kwenye supermarkets. Any idea?ntashukuru
 
Hakuna vibali vya kuuza supermarket bali kuna vibali vya kutengeneza na kuuza chakula ambavyo hutolewa na Tfda pamoja na Tbs ila kwa bongo unaweza kuuza tuu bila hivyo vibali ila kabla hujaanza kutengeneza tafuta oda kwanza maana ushindani ni mkubwa na Unga unaharika mapema hivyo tafuta oda kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…