2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 520
- 1,498
Habari wakuu.
Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.
Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi..
Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo.
1.Mbinu gani nitumie kurudi shule kabla ya utaratibu rasmi wa mwajiri wa miaka mitatu maana Umri unaenda na malengo binafsi.?
2.Natamani kwenda kusoma kitu tofauti na Uuguzi je hii imekaaje kiserikali kama nitabadilisha fani?
Nawasilisha
Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.
Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi..
Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo.
1.Mbinu gani nitumie kurudi shule kabla ya utaratibu rasmi wa mwajiri wa miaka mitatu maana Umri unaenda na malengo binafsi.?
2.Natamani kwenda kusoma kitu tofauti na Uuguzi je hii imekaaje kiserikali kama nitabadilisha fani?
Nawasilisha