Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

Naombeni ushauri juu ya kurudi shule baada ya kuajiriwa serikalini

Mkuu Mimi nilidhani kwakuwa upo field ya afya labda utakua na uanda mpana wa kuchagua kozi yoyote ya kitabibu kwa ngazi ya degree kwakuwa tayari una sifa ya diploma

Huwezi kusomea labda
Bachelor of Medical Laboratory Sciences General.
Bachelor of Pharmacy.
Bachelor of Science in Medical Imaging and Radiotherapy nk nk?
Hizo kozi ni rahisi sana kwa muajiri wako kukupa ruhusa na ukimaliza ni rahisi kubadilishiwa muuondo wako wa ajira

Kama Diploma yako inaku limit kusomea hizo kozi ulizo zitaja basi fikiria pia kufanya kozi fupi kama (NTA L4-6) ili kukupa qualification za kuapply kozi zingine za kitabibu kama nilizo zitaja hapo juu
(Sio kazi rahisi inabidi ukomae)

Shida ni pale utakapo soma mfano IT au uhasibu labda Open University halafu ukataka ubadilishiwe kitengo.... hapo unahitaji bidii na ku force kweli kweli kubadilishiwa muundo wako wa ajira vinginevyo unaweza kuishi kua na vyeti lakini ukabaki na unesi wako au labda uache kazi ukaombe kwingine kwa taaluma yako mpya
Hizo course siruhusiwi according to TCU guide book 2024/25 Mimi ninaweza kusoma bachelor za afya kwa diploma ni kama ifuatavyo.

1.Anaesthesia.
2.Nutritional.
3.Social work.
4.physiotherapy.
5.Audiology and speech pathology.
6.Occupational therapy.
7.Katibu wa afya.

So course nyingi kwa nurse nazo ruhusiwa kusoma ni hizo zilizobaki ni za siasa.

So kwa ushauri wako itanibidi nirudi upya kusoma Diploma aisee kitu ambacho kwa Sasa sikihitaji
 
Hizo course siruhusiwi according to TCU guide book 2024/25 Mimi ninaweza kusoma bachelor za afya kwa diploma ni kama ifuatavyo.

1.Anaesthesia.
2.Nutritional.
3.Social work.
4.physiotherapy.
5.Audiology and speech pathology.
6.Occupational therapy.
7.Katibu wa afya.

So course nyingi kwa nurse nazo ruhusiwa kusoma ni hizo zilizobaki ni za siasa.

So kwa ushauri wako itanibidi nirudi upya kusoma Diploma aisee kitu ambacho kwa Sasa sikihitaji
Huna sababu ya kurudi kusoma diploma ili upate nini? Soma BSc in Food, Nutrition and Dietetics
DMO atakuruhusu kwa sababu bado utakuwa kwenye afya na utaendelea kuhudumia watu hao hao

nursing kama ulivyosema hasa kwa mwanaume dah sijui nawaonaje? Manurse wamekaa
kichawa chawa sana sio wakiume sio wanawake.

Jitahidi ujikwamue huko kuna jamaa yangu alisoma hiyo BSc FND alikuwa male nurse
akabadilishiwa muungo sasa hivi ni Nutrition Officer wa hospitali ngazi ya kanda.
 
Yes. Bsc FND ina muundo mpya + Bsc CND na zote zimesajiriwa rasmi baraza la madaktari.
Huna sababu ya kurudi kusoma diploma ili upate nini? Soma BSc in Food, Nutrition and Dietetics
DMO atakuruhusu kwa sababu bado utakuwa kwenye afya na utaendelea kuhudumia watu hao hao

nursing kama ulivyosema hasa kwa mwanaume dah sijui nawaonaje? Manurse wamekaa
kichawa chawa sana sio wakiume sio wanawake.

Jitahidi ujikwamue huko kuna jamaa yangu alisoma hiyo BSc FND alikuwa male nurse
akabadilishiwa muungo sasa hivi ni Nutrition Officer wa hospitali ngazi ya kanda.
 
Fuata utaratibu na soma kitu kinachoendana na kada yako. Otherwise utaleta vyeti lakini hautokuwa recatecorized.

Unaweza kuleta cheti cha degree na ukaendelea kufanya kama nesi mpaka unastaafu.

Pili, fungua moyo na fanya kazi kwa moyo wote. Kumbuka msoto ulioupitia ulipokuwa unaitafuta kazi hiyo, na kuna wengi wanaitama na hawajaipata.

Ukifanya kazi hiyo hovyohovyo utajikuta mochwari mpaka unastaafu!
 
Habari wakuu.

Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.

Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi..

Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo.

1.Mbinu gani nitumie kurudi shule kabla ya utaratibu rasmi wa mwajiri wa miaka mitatu maana Umri unaenda na malengo binafsi.?

2.Natamani kwenda kusoma kitu tofauti na Uuguzi je hii imekaaje kiserikali kama nitabadilisha fani?

Nawasilisha

Acha tamaa - fanya kazi!
 
Habari wakuu.

Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.

Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi..

Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo.

1.Mbinu gani nitumie kurudi shule kabla ya utaratibu rasmi wa mwajiri wa miaka mitatu maana Umri unaenda na malengo binafsi.?

2.Natamani kwenda kusoma kitu tofauti na Uuguzi je hii imekaaje kiserikali kama nitabadilisha fani?

Nawasilisha
Inawezekana kama ulivosema ila tanguliza kusudi lako kuliko Tamaa ya kufanikiwa nkimaanisha usitake kulazimisha kusoma degree ili uje kulipwa pesa nyingi kwa kitu pia usichokipenda baadae kumbe Kuna fani nyingine za diploma nzur ambazo untafanya kazi na kuenjoy maisha Yako.....so hko utachokidomea as long as utakipenda na kukifurahia ndo kitakupa mafanikio.
Komaa September intake hyo inakuja ila jiandae kupambana na changamoto za kazini na maisha kikubwa kufikia lengo.
 
Back
Top Bottom