Kwa Diploma hawatoiMbona serikalini kuna scholarship kibao zinatolewa kwenda Asia na Ukrain pia zinakuwepo not sure after war ila zilikuwepo sana Asia,Ukrain and Russia.
Fuatilia wizarani zinatoka kila mwaka mwezi wa pili na July/september
Ooh jamani...pole mkuuSiipendi tu kazi ya nurse Sina Wito nayo.
Naona kama itanitesa BAADAE
Kwa ushauri wa harakat.. hembu jiunge na chuo kikuu huria soma fani zifuatazo unaweza kubadili kazi.Habari wakuu.
Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.
Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi..
Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo.
1.Mbinu gani nitumie kurudi shule kabla ya utaratibu rasmi wa mwajiri wa miaka mitatu maana Umri unaenda na malengo binafsi.?
2.Natamani kwenda kusoma kitu tofauti na Uuguzi je hii imekaaje kiserikali kama nitabadilisha fani?
Nawasilisha
Asante kwa ushauri nilifikiria zaidi bachelor of science nutrition and dietetics maana hii unaweza ukasoma distance learningKwa ushauri wa harakat.. hembu jiunge na chuo kikuu huria soma fani zifuatazo unaweza kubadili kazi.
1. Bachelor of social work
2.Bachelor of food science and diets
3.Uhasibu
4.IT
Kila la kheir
Yes inawezekana badae unakuwa afisa lisheAsante kwa ushauri nilifikiria zaidi bachelor of science nutrition and dietetics maana hii unaweza ukasoma distance learning
Je Kama nitaenda kusoma kitu kingine tofauti na kada yangu haitaleta usumbufu kwenye kubadilisha cheo cha muundo.?Hapo ukitaka urahisi wa ruhusa ya kusoma kutoka kwa muajiri ni lazima usomee kozi za kujiendeleza kulingana na taaluma yako...... vinginevyo itakua gumu kupewa ruhusa
So angalia taaluma yako kama ina masomo yake ya juu
Kama huipendi hiyo taaluma basi jiongeze Open University
Hapa utasoma taaluma uitakayo halafu utajuana na muajiri mbele kwa mbele kutambuliwa taaluma yako mpya na kubadilishiwa kitengo
Nurse ina option course kama.Hapo ukitaka urahisi wa ruhusa ya kusoma kutoka kwa muajiri ni lazima usomee kozi za kujiendeleza kulingana na taaluma yako...... vinginevyo itakua gumu kupewa ruhusa
So angalia taaluma yako kama ina masomo yake ya juu
(Kisheria unatakiwa uhudumu kwa muda angalau miaka 3 kupata ruhusa ya kusoma..... lakini ukiwa ukijiongeza hata ndani ya mwaka unapata ruhusa)
Kama huipendi hiyo taaluma basi jiongeze Open University
Hapa utasoma taaluma uitakayo halafu utajuana na muajiri mbele kwa mbele kutambuliwa taaluma yako mpya na kubadilishiwa kitengo
Habari wakuu.
Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali.
Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini nilikuwa nasubiri kwanza niingie kwa mfumo rasmi..
Wakuu naombeni ushauri wa Mambo yafuatayo.
1.Mbinu gani nitumie kurudi shule kabla ya utaratibu rasmi wa mwajiri wa miaka mitatu maana Umri unaenda na malengo binafsi.?
2.Natamani kwenda kusoma kitu tofauti na Uuguzi je hii imekaaje kiserikali kama nitabadilisha fani?
Nawasilisha
SadNimekumbuka kuna ex wangu alikuwa daktari katika hospital moja hapo Dar,alipewa kazi ya kumdunga sindano ya sumu mgonjwa aliyeletwa hospital hapo kwa hit and run accident....
Jamaa akakataa japokuwa aliahidiwa kitita Cha million 10 kwa sababu yeye alikuwa ni mtu wa imani,mpaka naongea nawe muda huu huyo jamaa ni tahira anadondosha mate tu...
Kiufupi nae alipigwa hit and run alipotoka job jioni...na nani sijui😥
Mkuu Mimi nilidhani kwakuwa upo field ya afya labda utakua na uanda mpana wa kuchagua kozi yoyote ya kitabibu kwa ngazi ya degree kwakuwa tayari una sifa ya diplomaNurse ina option course kama.
1.Audiology and speech pathology hii course bado HAINA muundo
2.Occupational therapy HAINA muundo kwa degree.
3Anaesthesia ni course nzuri ila changamoto yake majukumu ni mengi ya kiutendaji.
4.Bachelour of Nursing kiukweli hii course nzuri ukiwa unafundisha au research lakini sio Hospital wanawake wanaiharibu sana hii kada.
HAINA mgawanyo wa kimajukumu