Naombeni ushauri juu ya matatizo haya ya ndoa

Kwahiyo kaka yako anaogopa kuonekana anampiga mke ni bora aonekane yeye kapigwa๐Ÿ™„๐Ÿ™„.
Anashindwa nini kumdunda kisawasawa mke wake na amtimue mke aende zake? Kama ni mahakamani talaka itafuata baadae.
Inawezekana shemeji yako ndo mtafutaji zaidi ya kaka yako, au anafurahia kudundwa, au karogwa
 
Asante kwa ushauri!Nitaufanyia kazi
 
Tatizo ana watoto
Waacheni basi walee watoto wao kwa style yao. Kaka yako anasound Kama mke anaepata mateso kwenye ndoa na hataki kuachika sababu ya kuona aibu au kwa kisingizio cha watoto.
Pia inaonyesha Kaka yako anaogopa kuanza upya anaona hawezi ishi bila mke wake huyo.
Watu wa design hiyo hawashauriki, wanafunguka akili baada ya kuteswa kisawasawa. Mkiwaachanisha utashangaa wamerudiana
 
Ana watoto watatu!Amefungua biashara zake mkoa mwingine ambako hajajenga Ila amepanga nyumba lakini shemeji anamfuata huko na kumfanyia fujo!Anadai anataka amilikishwe Mali za Tabora!
Pole sasa mwambie abadilishe mfumo wa maisha .moja afungue account za benki kwa siri pili ajiandae kuachana nae baada kumbana kiuchumi wanawake wa sasa ni mashetani sana hawana jema .pili naomba nitafute dm kuna jambo haliko sawa kwa bro wako
 
Pole sasa mwambie abadilishe mfumo wa maisha .moja afungue account za benki kwa siri pili ajiandae kuachana nae baada kumbana kiuchumi wanawake wa sasa ni mashetani sana hawana jema .pili naomba nitafute dm kuna jambo haliko sawa kwa bro wako
Nakushukuru kwa ushauri!Kuna kitu kipya nimejifunza kwako!Kuhusu kufungua akaunti benki ninaomba unielimishe kwa mfano Mimi nina akaunti za akiba benki za NMB na CRDB,kwa ajili ya mambo yangu ya kibiashara je,ninaweza kwenda na kufungua akaunti zingine tena?
 
Sina ushauri nimeamua kuzingua tu Icebreaker wangu mie.
 
Asante kwa ushauri wako ingawa kuna mengi huyajui kwani sikuona sababu kuyaelezea humu!Kiufupi hata katika hayo madawati ya jinsia wamefika!Kumbuka madawati hayo yamejikita katika kusuluhisha na kuunganisha!Wakiwa huko Shem huomba hadi msamaha wakifika nyumbani muziki unaanza upya!
 
Haya pambaneni.
 
Kaka yako hovyo kabisa anyway itakua ni dini flan hayo mambo kwetu hayapo kabisa ..afu unanyanyaswa na mali zako wtf.chukua watoto piga chini ilo jini litakua lina kiben 10 chake ndio anapelekeshwa nacho
 
Tena hawa wanawake wa aina hiyo. Hata wakigawana hafiki miaka mi2 kila kitu amemaliza kutafuna na vibenten. Ksbb hata biashara hawajui,wanachojua wao ni kutumia tu
 
Sio jipya, wenzio tunadundwaga tunaambiwa tuvumilie ni kawaida. Na kaka yako ni mvumilivu ndo maana yupo na mke wake hadi sasa hivi. Tatizo ni wewe ndugu mchonganishi
Hahahahah yani ww msela kupigwa unaita uvumilivu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kaka yako hovyo kabisa anyway itakua ni dini flan hayo mambo kwetu hayapo kabisa ..afu unanyanyaswa na mali zako wtf.chukua watoto piga chini ilo jini litakua lina kiben 10 chake ndio anapelekeshwa nacho
Asante kwa ushauri wako nimeuchukua
 
Kaka ana roho ya kike huyo๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…siku mke akinletea ujinga kipigo ntachompa ni zaidi ya mbwa koko ntamvunja mikono yote ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… na mdomo unaopiga kelele ntauharibu vibaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ