Kaka madenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2021
- 312
- 574
Naombeni ushauri baada ya muda mrefu niliamua kuresit mtihani wa form four mwaka huu hivyo nitafanya mtihani mwezi wa 11.
Nilijiunga na Open school lakini kwa sasa hawafundishi wanatoa maswali sana tu na review na mitihani wameitoa.
Hali hii inanipa usahaulifu na kunitoa concentration kabisa
Naombeni ushauri wowote ili nipite kwenye mtihani maana shida yangu ni cheti tu.
Natanguliza shukrani zote.
Nilijiunga na Open school lakini kwa sasa hawafundishi wanatoa maswali sana tu na review na mitihani wameitoa.
Hali hii inanipa usahaulifu na kunitoa concentration kabisa
Naombeni ushauri wowote ili nipite kwenye mtihani maana shida yangu ni cheti tu.
Natanguliza shukrani zote.