Rebson sanga
Member
- Jun 13, 2013
- 31
- 0
Jaman nina rafik yangu alikuwa anafanya kazi ya kubeba magunia njombe sasa kafanikiwa kupata mtaji wa shiring laki nane na anaomba ushauri wa biashara ya kufanya ili kupumzika kazi anayoifanya kwasababu ni ngumu kwa mujibu wake kwa hyo nimeamua nililete kwnu great thnkers ushauri wako ndo mafanikio yake ahsanteni