Naombeni ushauri kuhusu biashara

Naombeni ushauri kuhusu biashara

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,124
Reaction score
5,745
Mambo zenu?
Naombeni ushauri sina kipato kikubwa ila sijafika ml.1 ila napenda biashara gani ni nzuri kuifanya kwa mtaji mdogo?
 
Uko mkoa gani angalia changamoto za mazingira hayo then unaweza ina fursa.
Mfano biashara ya chakula,nguo za wanawake,na mengineyo
 
Mambo zenu?
Naombeni ushauri sina kipato kikubwa ila sijafika ml.1 ila napenda biashara gani ni nzuri kuifanya kwa mtaji mdogo?
Usihogope njoo tukuhudumie nafahamu wachache wananitambua hapo 2013-2014/2015 nilikuwa napatikana kama MAISHA REAL ESTATE NAAM basi njoo tukudumie na namba zetu zimebadilika zilikuwa zinazoanza na 0656 ila sasa tunapatikana hapa 0744 008208


(Tuwekeze na vijana kwa pamoja tunaweza)
 
Usihogope njoo tukuhudumie nafahamu wachache wananitambua hapo 2013-2014/2015 nilikuwa napatikana kama MAISHA REAL ESTATE NAAM basi njoo tukudumie na namba zetu zimebadilika zilikuwa zinazoanza na 0656 ila sasa tunapatikana hapa 0744 008208


(Tuwekeze na vijana kwa pamoja tunaweza)
[emoji121]
KWA ALIYEELEWA ANISAIDIE UFAFANUZI TAFADHALI!!!

[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Kwanza kabisa una takiwa uwe na wazo biashara {business idea} lolote Kama vile:
✓ufugaji kuku.
✓kilimo Cha mbogamboga na matunda.
✓kilimo cha nafaka mbalimbali kama vile mahindi,maharagwe,kunde na mbaazi.
✓uuzaji wa matunda.
✓uuzaji juisi ya poa ya harakaharaka
✓ufugaji nguruwe na mengine mengi.
-------------kama unamtaji usiozidi milioni 1,unaweza ukaanza na biashara ya nguruwe.kwa mfano kitoto kimoja cha nguruwe ni 50,000,ko unaweza nunua vitoto kama 6(6×50,000) kwa jumla ya shilingi 300,000,banda kujenga kwa shilingi 300,000.jumla(300,000+300,000)=600,000.ko baada ya vitoto kukua utafurahia ufugaji wako kwani nguruwe 1 bei yake hiwa si chini ya 500,000.Ko kama umewatunza vizuri uwa wanazaa watoto wasiopungua 6.Ko kama una nguruwe 6,kila moja ikizaa watoto 6 jumla(6×6)=36 ambayo ukiuza vitoto vyote(36×50,000)=1,800,000 na ikiuza wakubwa (500,000×36)=18,000,000 ko utajikuta unakuwa milionea kwa mda mfupi.
✓N.B----------Zingatia sana eneo,hasahasa eneo ambao hakuna waisilamu kwa wingi kutokana na imani ya mtu,hali ya hewa,chakula kwa wingi kutokana na mahoteli mbalimbali kuwepo au mashudu kutoka mashambani.
 
Back
Top Bottom