Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

Hapo ukikamatwa ukajumlisha miaka ya kusota mahabusu ili huyo mwizi akae sawa kisaikolojia aje atoe ushahidi kamili mahakamani na ile miaka ya kuwekwa gerezani siyo chini ya miaka 20 ukijumlisha usiku na mchana.. ukija kutoka ni 2035 kama kutakua na msamaha wa raisi. Tofauti na hapo tafuta namna nyingine ya kugeuka kivuli kwanza.

Nb. Nina experience na swala kama lako mkuu pole sana
 
Kwahiyo nikatae mkuu
 
Sheria ya mwizi kuwatambua waliompa kisago haipo! Wakimleta wanyang'anyeni mmumalizie kabisa! Kwenye gwaride la utambuzi msiende mmoja mmoja, nendeni mtaa mzima polisi wakifika tu mnawaweka mtu kati mnachukua mtuhumiwa wenu!
 
Huyo hakupigwa alipapaswa
 
Mkuu saa 7 usiku watu wanamapanga si kujitafutia kifo maana raia wanakuwaga kama wamepandwa na ukichaa
Wewe ulimpiga , mtu saa saba za usiku kama hakujui na hajawahi kukuona before si vyepesi kukutambua,

Inaonekana mhusika unamjua vyema na anakujua vyema na kipigo ulimshushia vyema kwa hila zako na chuki binafsi na hali ukijua wazi kuwa hukustahili kumtenda hivyo.


Subiri ukanyee ndoo kwanza , ili medura zisogereane
 
Huyo ni mwizi lakini anaweza kuua mtu asie na hatia
 
Sheria ya mwizi kuwatambua waliompa kisago haipo! Wakimleta wanyang'anyeni mmumalizie kabisa! Kwenye gwaride la utambuzi msiende mmoja mmoja, nendeni mtaa mzima polisi wakifika tu mnawaweka mtu kati mnachukua mtuhumiwa wenu!
Sawa mkuu
 
Kuuwa Mwizi Na kuhalalisha Ushoga Vp Ni jambo Chafu? CHANZO 😛apa Francis Na Kanisa Katoliki.
 
Aisee nimecheka sana. Kichapo utoe alafu uje kututesa sisi
 
Kimbia eneo hilo kwa muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…