Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

Atakaa wiki
Nikutonye tu, kesi zinazoonekana nyepesi Kuna muda hugeuka kuwa ngumu na ukaishia kusota jela.

We endelea kuchati jamiiforums ubebwe halafu ukijifanya jeuri PP atakupeleka mahakamani.

Huko ukienda kukiri tu Eti ulikuwepo wakati raia wakimpiga ila wewe hukumpiga unakula mvua kwa makosa Yale Yale ya waliompiga.

Jiongeze fallah wewe [emoji51][emoji51][emoji51]
Hii ni kweli kabisa,mwaka ulioisha Kuna fala amefugwa lakn mwanzo alidai yeye ni mwamba kesi ya utapeli hajawahi kufugwa ,sasa baada ya mm kutoa ushaidi jamaa alitoka mahakamani analia maana nilimkaanga kisawa sawa na maswali yake yalikuwa kama 100 lakn mm niliyasolve kiwepesi Sana.
 
Hakuna namna unaenda kunyea debe tu ....
Huchomoki hapo
 
Huku mtaani kuna mwizi alichezea kichapo usiku baada ya kutuhumiwa ni mwizi na kama mnavyojua hili neno ukiitiwa usiku wa saa 7 hata kama sio mwizi raia wanapiga.

Sasa inasemekana kapona hajafa na polisi wanataka kumpitisha awatambue waliompiga na Mimi nilikua nimeenda kumshuhudia akichezea kipondo nawaza asijepata wenge akanijumuisha na Mimi kwamba nilimtembezea mkong'oto.

Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha maarifa.
Kukamatwa hakuzuiliwi, andaa mtu wa kukudhamini.

Kushitakiwa ndiyo ishu tunayoweza kujadili hapa.

Kwenye kesi za namna hiyo ni ngumu sana Polisi kukamilisha ushahidi usiotia shaka kwamba ulipiga ili kukuandika mashitaka.

Kiufupi hauwezi kushitakiwa na ukishitakiwa lazima kesi itatupiliwa mbali.

Kutaja tu: 'na huyu' siyo ushahidi unaojitosheleza kukutia hatiani, mpaka apatikame shahidi mwingine kuthibitisha.
 
Kukamatwa hakuzuiliwi, andaa mtu wa kukudhamini.

Kushitakiwa ndiyo ishu tunayoweza kujadili hapa.

Kwenye kesi za namna hiyo ni ngumu sana Polisi kukamilisha ushahidi usiotia shaka kwamba ulipiga ili kukuandika mashitaka.

Kiufupi hauwezi kushitakiwa na ukishitakiwa lazima kesi itatupiliwa mbali.

Kutaja tu: 'na huyu' siyo ushahidi unaojitosheleza kukutia hatiani, mpaka apatikame shahidi mwingine kuthibitisha.
Sawa mkuu
 
Huku mtaani kuna mwizi alichezea kichapo usiku baada ya kutuhumiwa ni mwizi na kama mnavyojua hili neno ukiitiwa usiku wa saa 7 hata kama sio mwizi raia wanapiga.

Sasa inasemekana kapona hajafa na polisi wanataka kumpitisha awatambue waliompiga na Mimi nilikua nimeenda kumshuhudia akichezea kipondo nawaza asijepata wenge akanijumuisha na Mimi kwamba nilimtembezea mkong'oto.

Nauliza hapa kama nikakamatwa na mimi natokaje kwenye huu msala wakuu sababu hapa JF ni kisima cha
Hadi ithibitike so usiogope
 
Yaani mfano uje ukamatwe halafu useme nilikuwepo lakini sikumpiga, wee bongo hii nani atakuamini kihivyo. Najua unajua cha kufanya.
 
Back
Top Bottom