Naombeni ushauri kuhusu huyu mwizi aliyepigwa Mtaani kwetu

Nenda kwa mganga
 
Tatizo liko wapi kama umepiga mwizi?

Wakija kabla hawajakuhoji waoneshe TANGAZO la mkuu wa Mkoa kiwageuza vibaka kuwa skeleton za maabara watanywea wenyewe. Kuna Uzi humu utafute.
 
Miaka ile 1988 hivii mkoa fulani wilaya fulani.....kuna mshauri mgambo captain wa jeshi....alikuwa ugomvi na jamaa wanagombea demu...jamaa kamlia timing saa 6 usiku capt yuko mitungi kaenda demu...kagonga dirisha....jamaa ya demu akapiga yowe aliweka mtego jamaa zake.....wakatoka mapanga....fimbo etc...walimpiga yule capt hadi akafa...!! Wakawrka mwili miti mtofali wamchome moto khaaa saa 1 asubuhi taarifa ikafika ocd na dc...( mjumbe kamati ulinzi usalama kauawa)....najuta.....saa 5 mchana ilikuja kikosi jeshi ....walipiga mtoto mama baba mitaa 5 kuzunguka eneo...kuwasomba mistari kupeleka polisi watu kama 200 walikamatwa.....wakachujwa...mzee mmj alikuwa anasema wazi kbs wamechoka vibaka....wakaenda kumpekua panga lake hakulifuta.....damu wakambana ataje majirani waliompiga pamoja yeye.....nilikuwa darasa 6 hivi....yule babu alikuja kutoka nikiwa chuo...alikaa kama 10yrs....!!kesi za kichwa balaaaa
 
Your browser is not able to display this video.

Ulikuwepo na ulishiriki kupiga, ila pona pona yako dogo hatokutaja mana ulisisitiza apigwe miguu
 
Kipindi naishi dar kuna mwamba alikuwa ni boda kumbe mwizi anakikundi cha wenzake wanaiba.

Bwana wakaja sehemu nilipokuwa naiba aise kumbe mpangaji mwenza gu alikuwq na kawaida ya kutega nje usiku .

Sikuhiyo wakaja wezi watatu Mungu saidia akanaswa mmoja wakakimbia wawili huyo mmoja alichezea kichapo akaja jirani mwingine akashika panga kaanza kucharanga mwamba .

Asubuhi yake mwamba akavuta.
Mungu saidia huwa naamka saa kumi usiku nawahi mishemishe huku nyuma walisomba wapangaji wote kasoro mimi.

Walikaa ndani mwezi mmoja wakatoka kwa dau kubwa.
 
Waislamu wanaongoza Kwa ushoga na kujilipua katikato ya watu wasio na hatia
Kumbe Ni waislamu Ila Sio Uislamu Hilo halina Tatizo Tatizo Ni Pale Ukatoliki Unapobaliki Waumini Mtafunane Wakiongozwa Na Bwana Papa.Hata Wewe Ukiwa Shoga Haimaanisha Ukoo Wenu Wote Mnatafunwa Itakuwa Wewe Ndo Umeamua Kutafunwa Kwa Hiyo Usiogope Ukisikia Mwislam Ameamua Kutafunwa Huyo Ni yeye Na Ndio Maana Kuna Waislamu Warevi,Majambazi,Mateja Nk.
 
Uislamu na waislamu ni mashoga
 
Kweli wanaume mmepiga mwizi na hajafa, hayupo wodi mahututi na anapata jeuri ya kuja kutafuta waliompiga...!
Kuna mazingira mengine wezi wanachomoka. Kuna siku tulimpiga mwizi hostel ndani. Hakuna mawe ni chupa za soda tu na ngumi. Halafu watu wanapiga bila mpangilio mwisho wa siku mnapigana Hadi wenyewe hapo mwizi lazima achomoke koz huwezi kurusha chupa. Kumfikia tu na kumpiga umepangua watu kama 600
 
Umelewa...? πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…
 
Acha uoga,kwani atakufuata akupoint ulihusika,na kama anakufahamu ni ngumu kukutaja
Angekufa hapo ndo ingekua mbaya na labda wangetaja waliohusika na kifinyo
 
nenda jela wewe, na ulivyo na ngozi soft unaenda kukutana na askari selo akufire vizuri mpaka unyee
 
Kuna ndugu yangu yalimkuta kama wewe. Alifungwa miaka mitano 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…