Naombeni ushauri mie, nimeaibika sijui nitauficha wapi uso wangu

Naombeni ushauri mie, nimeaibika sijui nitauficha wapi uso wangu

Punguza sukari kwenye hiyo chai.

1- "Leo ni siku ya tatu bado nimesimama nje". Kitu ambacho ni uongo wa kiwango cha Lami inamaana hua haulali siku zote hizo?

2,3,4,5,...- eti unakurupuka kutuma je, kama ni utapeli na je hukukalili hata namba pindi unapiga kua hiyo si yake? Yaani hujui kutofautisha namba ya mke na mchepuko.
Mengi umetupiga kamba.
Mtu wa hivyo hana madhara.Anajidanganya mwenyewe.
 
Hii yenyewe

59729287df401613ed0db4dc2fb085e1.png
 
Mimi sio mgeni na members wa humu so sioni ajabu hata mkinitukana
 
Mimi baada ya kuwa mkubwa niliacha ujinga wa kuchepuka.Nampenda tu mke wangu.

Jana nimemnunulia zawadi ya wine pamoja na ua halafu usiku nikamvuta nikamlaza kwenye kifua changu.Alilala usingizi mzito sana.
Hakika, kuna blessings zinakuja automatic ukimpenda mkeo.
 
Sasa hiyo aibu kaka zaidi ya kuomba radhi tutashauri nn, Afu kwa nn umuchanganye shemeji yetu na videmu vya mchangani
 
Ukiskia kimeumana ndo Hii Sasa....

Una MKE smart Sana, anastahili pongezi[emoji1787]
Na wewe kama huyo boya tu. Ukitaka kutuma hela kabla ya kuandika neno la siri unaulizwa kama jina linalooneka ni sahihi? Acha unyumbu
 
Mkuu huon kwamba hiyi stori umeikopi sehemu?

Je ni mwanaume Boga kiasi gani atatuma pesa bila kuhakiki namba?

Ni uchiz kias gani mpaka jina la mkeo na mchepuko kushinda kutofautisha kwenye hizo mpesa

Maswali ni mengi ila[emoji116][emoji116]View attachment 2032509

Sent from 2 using JamiiForums mobile app
Uhuni
kakwambia kaenda kuweka kwenye akaunti ya bank kaka sio kwenye ile namba ya mpesa au tigo pesa....soma vzr kaka usimhukumu tu
 
katuma kwenye akau t namba ya benk jaman mbona mnamhukumu?
 
Back
Top Bottom