fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Nakuja kwenu ndugu jamaa na marafiki mimi ni kijana wa miaka 19 naelekea 20, Mungu akijaalia
nimemaliza form miaka 12 iloyopita.
Katika ishu za kutafuta nikawa najifunza ufundi umeme wa majumbani na Mungu si Athumani nimefanikiwa naujua umeme na kazi napata huku nazidi kujifunza zaidi.
Lengo la uzi huu ni kuwaomba mnipe idea au mawazo kuhusu biashara ya kufanya sababu hela yangu inaishia kwenye kununua nguo KUBET na mambo mengne na nawaza nitoke home nikapange ghetto langu mwenyewe.
Kwa hiyo nawaomba mnipe mawazo yenu najua humu kuna waliofanikiwa kupitia biashara mbali mbali kama ni mtaji mi nikijitahidi sana ni wa laki na 30 naweza kuwa nao
NAOMBENI MAWAZO YENU NA IMANI YATANIJENGA NA HATA ATAEKENIKEJELI ATANIFANYA NIZIDI KUKOMAA PIA
[HASHTAG]#WENUUTIIFU[/HASHTAG]
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTempEr[/HASHTAG]
nimemaliza form miaka 12 iloyopita.
Katika ishu za kutafuta nikawa najifunza ufundi umeme wa majumbani na Mungu si Athumani nimefanikiwa naujua umeme na kazi napata huku nazidi kujifunza zaidi.
Lengo la uzi huu ni kuwaomba mnipe idea au mawazo kuhusu biashara ya kufanya sababu hela yangu inaishia kwenye kununua nguo KUBET na mambo mengne na nawaza nitoke home nikapange ghetto langu mwenyewe.
Kwa hiyo nawaomba mnipe mawazo yenu najua humu kuna waliofanikiwa kupitia biashara mbali mbali kama ni mtaji mi nikijitahidi sana ni wa laki na 30 naweza kuwa nao
NAOMBENI MAWAZO YENU NA IMANI YATANIJENGA NA HATA ATAEKENIKEJELI ATANIFANYA NIZIDI KUKOMAA PIA
[HASHTAG]#WENUUTIIFU[/HASHTAG]
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTempEr[/HASHTAG]