Naombeni ushauri: "Mpenzi wangu anajikolea"!

Naombeni ushauri: "Mpenzi wangu anajikolea"!

Nahisi hata yeye ni kikojozi tu

Wasamehe wadogo zako wewe.......

Ila msipowashauri watajikuta wanafanya kama ule mchezo wa kumtupia nyani jiwe yeye akakurushia ndizi....

Mambo megine hadi yanasikitisha kwani kwenye miti mara nyingi kunakuwa na uhaba wa mafundi aisee.. Kuna vitu ukivipata unapiga kelele kimya kimya na kuruka ruka chumbani ukiwa umejifungia na kuhakikisha hata ndege aliye nje hakusikii wala hakuoni. They are very precious and rare!
 
INSHU YA DR MWAKA ILIPANGWA

Hivi karibuni mdada machachari anayejulikana kwa kutukana watu bila uoga akijivunia kutoishi Tanzania hivyo mkono wa dora hauwez kumkamata na ambaye alikuja ili agombee ubunge akaishia polisi Mange Kimambi aliibuka na kuanza kumsakama dr Mwaka kuwa ni daktari feki na amekuwa akiwafanyia vitu vya ajabu akina mama.
Iliniumiza akili kumuwazia Mwaka kwa sababu nina ndugu yangu aliyepata tiba kwa huyu jamaa na akapona tatizo lake na leo ana mtoto na furaha maishani mwake.
Nikajiuliza hivi kama kuna watu walifanyiwa vitendo visivyofaa mbona hawajawah toka hadharani? Basi hata huyo Mange mbona hakuweka ushahidi juu ya hao watu zaidi ya porojo?
Nikajiuliza tena! Hivi kila sehemu ya tiba mfano Muhimbili kila anayeenda kupata tiba anapona? Iweje kwa Mwaka waseme kuna wasiopona? Inamaana walitaka wote walioenda pale wapone? mpaka wale waliotoa mimba na kuharibu vizazi?
Wakageuka na kusema anajifanya daktari wa kisasa wakati ana kibali cha mitishamba! Nikajiuliza kuna mtu alishapewa dawa za hospital kule kwa ? Mwaka? Mbona wote wanaoenda pale wanapewa mitishamba na matunda pekee?
Wakauliza amesomea wapi udaktari hivi kumbe uganga wa mitishamba unasomewa? Chuo gani hapa Tanzania na mimi niende??
Nilipata walakini lakini baada ya mishemishe za kutwa tangu Mwaka aumbuliwe kule Insta kama wanavyodai kuna mtu mpya kaibuliwa na anapewa promo sana anaitwa Fadhageti! Kwa sasa ukienda kila page ya superstar utakuta kampost huyo jamaa tena kwa advetise nyingi kuwa anatibu matatizo ya uzazi na sio tapeli na kumpamba kibao.
Jana usiku Mange naye akampost kwa sekunde chache ila watu walipomshambulia akatoa!
Baada ya kuunganisha hayo yote nikagundua kuwa kuna mchezo unaendelea chini kwa chini tena watu wakiwa wamelipwa pesa ya kutosha(mange) na mheshimiwa mmoja ili tu wamshushe Mwaka na kumpandisha jamaa mwingine baada ya kuona Mwaka anakuwa tishio kwa matabibu wenzake wa tiba za asili!
Naamin hamtaweza kwa sababu waliowahi kupata tiba kutoka kwa Mwaka na kupona ni wengi na wanashuhuda zao!!
Sinema bado inaendelea subirini tuone mwisho wake

Junior
Insta USHAURI_mahusiano

huyo fadhaget kituko kweli doctor kanyoa kiduku na picha za mapozi kama modal
 
Last edited by a moderator:
Hawa vijana bwana, kulima hawajui na hata kujukuwa kuwa kwa jirani mavuno yako tayari hawajui...

Ni masikitiko makubwa kuuza almasi au dhahabu yako kwa mkompo, tena kwa sonara ambaye ni machinga!

babu weeee unafikiri ningekuwa siwez kulima angefanya hayo?? namlima hasa mpaka anapata kichaa cha mapenzi ohoooo!!!
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu utaskia mara mkauuu nini, mara majiii kama nini hivi nyie mnapendaga nini? Huna aibu wengine wanaenda kwa waganga kuyatafta wewe unalalama? Toa ushamba wanawake wa hivyo ni unique

heeee luckyline watu wanaenda kwa waganga kuyatafuta??? sijaelewa hapo!
 
Last edited by a moderator:
promo at work....

tiba yake yaweza ikawa ipo ila itakuwa ya kienyeji tu
 
Heshima kwenu wataalamu wa jukwaa hili!

Baada ya salamu mimi ni kijana bado sijaoa, nina mpenzi na nimedumu naye about 2years now...ni mzuri wa sura, umbo na tabia!

Ni mwanaharakati mzuri sana, anajipenda na ananipenda pia! ni mtu anayependa mafanikio kwa ujumla! ni wife material for me!

Licha ya sifa zote hizo analo tatizo moja nalo ni "tunapokuwa kwenye "game" akifika kileleni huwa anapitiliza kwa utamu mpaka anakojoa na mkojo wa asubuhi kabsaa!

Baada ya game nikimuuliza kulikoni hivi huwa anajibu nisamehe mpenzi wangu umenifikisha mbali mpaka nimeshindwa kujizuia....nikimkazia huwa analia sana!

Naombeni ushauri wenu jamani huu ni ugonjwa au mautamu yakizidi basi ndio unakuwa nusu mfu??

Karibuni matabibu na wataalamu wa nyapu!



Comon sense tu hapo boss
Don't discriminate yeye...

Mademu wa siku hizi kuomba msamaha sahau sasa yeye ana apologize for a mere reason..

Kama anakupenda don't use that advantage and mistreat her......

Usiombe ushauri saaaana sometimes calm dowm meditate utapata majibu...

Umeshawahi kufanikiwa kwa ushauri wa aina hizo katika forum hii boss?

Anyway ukimuacha huyo utapata unachotafuta... usipende saana kuchokonoa unapoana loyalty boss....

All the best!
 
Wanawake wengi duniani wanatamani kukujoa hivyo wanashindwa halafu wewe unalalamika. Nitakutukana
 
ZaBeast nakushukuru sana kwa ushauri wako mzuri!
 
Last edited by a moderator:
Naona uzi umehamishiwa Muhimbili kabsa! asanteni!

sasa wataalamu wa JF Doctor karibuni kwa ushauri jamani!
 
Back
Top Bottom