Naombeni ushauri: "Mpenzi wangu anajikolea"!

Naombeni ushauri: "Mpenzi wangu anajikolea"!

Heshima kwenu wataalamu wa jukwaa hili!

Baada ya salamu mimi ni kijana bado sijaoa, nina mpenzi na nimedumu naye about 2years now...ni mzuri wa sura, umbo na tabia!

Ni mwanaharakati mzuri sana, anajipenda na ananipenda pia! ni mtu anayependa mafanikio kwa ujumla! ni wife material for me!

Licha ya sifa zote hizo analo tatizo moja nalo ni "tunapokuwa kwenye "game" akifika kileleni huwa anapitiliza kwa utamu mpaka anakojoa na mkojo wa asubuhi kabsaa!

Baada ya game nikimuuliza kulikoni hivi huwa anajibu nisamehe mpenzi wangu umenifikisha mbali mpaka nimeshindwa kujizuia....nikimkazia huwa analia sana!

Naombeni ushauri wenu jamani huu ni ugonjwa au mautamu yakizidi basi ndio unakuwa nusu mfu??

Karibuni matabibu na wataalamu wa nyapu!

Ungekuwa Mtoto Wang ningekuchapa viboko hamsa wa hedi! Kwa vile siyo mlete tu kwangu mimi nitamtibu ndani ya wiki moja!
 
Hayo ndiyo mambo ya gulioni,huyo mpenzi wako atakuwa wa kule katerero
 
Back
Top Bottom