Naombeni ushauri msichana wa kizungu tuliye kutana nae mtandaoni ananipenda na anataka taarifa zangu kama namba lakini naogopa nifanyaje?

Nimecheka kifala Sana u made my day very funny

Kwani wewe unataarifa gani haswa unazoogopa kumpa huyo mdada au nikupe zangu umpe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzungu ndo yule mwanamke wako asiyerekebishika au huyu ni mpya
 
Mwambie akutumie nauli, akishatuma kula halafu block
 

Na ikitokea ukatapeliwa, basi usife moyo! Maana wanaume tumeumbwa mateso. Utajipanga tu upya.
 
Nakushauri mkuu na usisikilize ushauri wa yeyote hapa.. NENDA KAMBLOCK MKUU.. atakusababishia matatizo usiwasiliane nae tena achana naye
 
Hivi wamesema figo ina thaman ya sh ngapi?
 
Dada umeamka vibaya? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Thanks for the laugh.
hahaha sjaamka hata vibaya nimemjibu kutokana na alivyouliza halaf nilisahau kumuulizq umri wake pia

hahahaa karibuuu
 
toa namba hiyo acha ushamba, mrembo wa kizungu kakuelewa, achana na haya meusi kama mkaa wapenda vitonga wa kibongo.

Heri hata huyo mzungu atakuzalia watoto shombeshombe, watoto wazuri, sio haya mablack ya kike huku, sura kama wanaume afu wanajiita wanawake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaan unaomba ushauri km umpe namba au usimpe!!!!!!!!Una shida ww[emoji119]
 
Kwa Dunia hii kirahisi hivo tu??

Wewe ni fursa kwake, ataitumia vizuri kufikia malengo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…