Naombeni ushauri msichana wa kizungu tuliye kutana nae mtandaoni ananipenda na anataka taarifa zangu kama namba lakini naogopa nifanyaje?

Naombeni ushauri msichana wa kizungu tuliye kutana nae mtandaoni ananipenda na anataka taarifa zangu kama namba lakini naogopa nifanyaje?

Why online scammers say they're Nigerian princes
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Natamani kufahamu umri wako mkuu ... pia wakati meingine jaribu kuuliza maswali ya msingi hilo ni swali la kitoto sana yani mtu anakuomba namba then unakuja kutuomba ushauri hapa ivi upo serious kweli ...
 
Habari zenu wadau

Wadau naomba mnishauri kitu kimoja nina mwanamke ambae tumezoeana sana yeye ni mzungu wa anaishi Marekani baada yakuzoeana kunawakati sasa ananisumbua anataka tubadilishane namba za simu na anataka siku moja aje Tanzania maana anasema nisehemu mzuri ya kitalii.

Sasa tatizo Mimi nashindwa kumpa namba na taarifa zangu za msingi maana naogopa jamani kama wadau JF naomba ushauri nifanyaje nimpe au nisi mpe?

Kama ndio kwanini nakama jibu nisimpe kwanini?
Anataka figo yako huyo kuwa makini usije sema sikukuonya
 
Back
Top Bottom