Naombeni ushauri na maoni,

Joined
Jan 22, 2014
Posts
42
Reaction score
2
Kuna ndugu yangu kaniomba ushauri amepata nafasi ya URATIBU ELIMU KATA, kwa sasa ni mwalimu wa sekondari anauliza je kazi iyo inalipa, na vp kuhusu mshahara wake, nikaona nililete kwa wadau kabla sijamjibu, mwenye kujua kazi na maslai yao tujuzane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…