A agwambo halisi Member Joined Jan 22, 2014 Posts 42 Reaction score 2 Feb 21, 2014 #1 Kuna ndugu yangu kaniomba ushauri amepata nafasi ya URATIBU ELIMU KATA, kwa sasa ni mwalimu wa sekondari anauliza je kazi iyo inalipa, na vp kuhusu mshahara wake, nikaona nililete kwa wadau kabla sijamjibu, mwenye kujua kazi na maslai yao tujuzane
Kuna ndugu yangu kaniomba ushauri amepata nafasi ya URATIBU ELIMU KATA, kwa sasa ni mwalimu wa sekondari anauliza je kazi iyo inalipa, na vp kuhusu mshahara wake, nikaona nililete kwa wadau kabla sijamjibu, mwenye kujua kazi na maslai yao tujuzane
A agwambo halisi Member Joined Jan 22, 2014 Posts 42 Reaction score 2 Feb 21, 2014 Thread starter #2 Wadau mbna kimya hamna anaeelewa majukumu ya kazi iyo