Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

Joined
Jun 15, 2023
Posts
7
Reaction score
7
Wakuu za mida? nadhani mko poa!

Mimi ni kijana wamiaka24 nilifeli kidato cha nne mkoani huko nikawa nafanya shughuli za kilimo na washkaji zangu huko mkoani. Nilikuwa napata hela za kujikimu na chakula fresh tuu na pia kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilikuwa nina mpango wa kulima mazao mengi ya muda mrefu na mfupi. Sikuwa na mpango wa kuja mjini kabisa kwani tangu nazaliwa hadi nabalehe sikuwahi kwenda mjini popote wala kupanda gari, nilikuwa mzee wa pori tu nilikuwa nawaona wenzangu tu wakirudi kijijini na kwenda mjini

Namlaumu mjomba wangu aliniita mjini nikamshikie kazi yake wiki moja tu aende mkoani kushughulikia mambo yake akimaliza nitaondoka kijijini na yeye ataendelea na kazi yake ya duka

Alivyorudi akawa ananishawishi nisirudi kijijini bali anitafutie gereji nikajifunze ufundi magari, dah! najuta hadi sasa kwanini nilikutana nae huyu mtu maana ndio amenipoteza maboya kabisa hadi sasa sielewi.

Nilikubali kwa jinsi alivyonishawishi na pia nilikuwa bado chalii sielewi maisha yapoje. Nikajifunza ufundi makenika chap mwaka mmoja na nusu nikaiva kiasi nikatafuta sehemu ya kulipwa nikapata sema malipo kidogo sana kitu ambacho kinapelekea kuwa tegemezi kwa ndugu kitu ambacho zamani nilikuwa sina

Kulia njaa gareji kazi hamna hadi nauli ya kurudi nyumbani nakosa wenzangu niliowaacha kijijini sasa wana familia zao washaoa.

Sasa kuna mtu anataka tufanye biashara ila kichwa hakipo tayari nahisi nina msongo wa mawazo naweza kumtia hasara maana nimechanganyikiwa siko kwenye ule ubora wangu wa zamani kabisa

Hapa nipo zangu gereji sijanywa chai wala sioni dalili ya kula mchana. Nahisi sio mimi ninayepitia mahangaiko haya

Yaani nimejifunza kazi nilioambiwa fundi hafi njaa ila naona daaa mapicha picha sijui nifanyeje yaani msingi wangu nilishakosea

Natamani miaka irudi nyuma hadi 2020 nisahihishe makosa, ila ndio hivyo tena naona nishayakanyaga tayari.
 
Yaliyopita si ndwele ili mmradi bado unaishi unayo nafasi ya kutengeneza maisha yako,tuliza akili jitafakari urudi kijijini kulima au ukomae mjini kufanya biashara n.k.
 
Wakuu za mida? nadhani mko poa!

Mimi ni kijana wamiaka24 nilifeli kidato cha nne mkoani huko nikawa nafanya shughuli za kilimo na washkaji zangu huko mkoani. Nilikuwa napata hela za kujikimu na chakula fresh tuu na pia kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilikuwa nina mpango wa kulima mazao mengi ya muda mrefu na mfupi. Sikuwa na mpango wa kuja mjini kabisa kwani tangu nazaliwa hadi nabalehe sikuwahi kwenda mjini popote wala kupanda gari, nilikuwa mzee wa pori tu nilikuwa nawaona wenzangu tu wakirudi kijijini na kwenda mjini

Namlaumu mjomba wangu aliniita mjini nikamshikie kazi yake wiki moja tu aende mkoani kushughulikia mambo yake akimaliza nitaondoka kijijini na yeye ataendelea na kazi yake ya duka

Alivyorudi akawa ananishawishi nisirudi kijijini bali anitafutie gereji nikajifunze ufundi magari, dah! najuta hadi sasa kwanini nilikutana nae huyu mtu maana ndio amenipoteza maboya kabisa hadi sasa sielewi.

Nilikubali kwa jinsi alivyonishawishi na pia nilikuwa bado chalii sielewi maisha yapoje. Nikajifunza ufundi makenika chap mwaka mmoja na nusu nikaiva kiasi nikatafuta sehemu ya kulipwa nikapata sema malipo kidogo sana kitu ambacho kinapelekea kuwa tegemezi kwa ndugu kitu ambacho zamani nilikuwa sina

Kulia njaa gareji kazi hamna hadi nauli ya kurudi nyumbani nakosa wenzangu niliowaacha kijijini sasa wana familia zao washaoa.

Sasa kuna mtu anataka tufanye biashara ila kichwa hakipo tayari nahisi nina msongo wa mawazo naweza kumtia hasara maana nimechanganyikiwa siko kwenye ule ubora wangu wa zamani kabisa

Hapa nipo zangu gereji sijanywa chai wala sioni dalili ya kula mchana. Nahisi sio mimi ninayepitia mahangaiko haya

Yaani nimejifunza kazi nilioambiwa fundi hafi njaa ila naona daaa mapicha picha sijui nifanyeje yaani msingi wangu nilishakosea

Natamani miaka irudi nyuma hadi 2020 nisahihishe makosa, ila ndio hivyo tena naona nishayakanyaga tayari.
Usikate tamaa una nafasi nyingine
 
mkuu its never too late, piga U-turn rudi kijijini with determination kachape kazi utatoboa tuu.
 
Sasa si mjini umepata knowledge tayari?Rudi kijijini kalime ..ukija tena mjini uaanzisha gereji yako...
Tena utakuwa unalimisha .. kijijini unaenda wakati wa mavuno...
Wakati wa kusubiri mvua uko mjini na gereji yako
Asante kaka kwaushauri mzuri.sema naona hadi aibu na kukata tamaa mana sina chochote ilanitakaza moyo tuu
 
Rudisha mpira kwa goli kipa uanze upya mbonq umri wako bado mdogo Sana.
 
Wakuu za mida? nadhani mko poa!

Mimi ni kijana wamiaka24 nilifeli kidato cha nne mkoani huko nikawa nafanya shughuli za kilimo na washkaji zangu huko mkoani. Nilikuwa napata hela za kujikimu na chakula fresh tuu na pia kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilikuwa nina mpango wa kulima mazao mengi ya muda mrefu na mfupi. Sikuwa na mpango wa kuja mjini kabisa kwani tangu nazaliwa hadi nabalehe sikuwahi kwenda mjini popote wala kupanda gari, nilikuwa mzee wa pori tu nilikuwa nawaona wenzangu tu wakirudi kijijini na kwenda mjini

Namlaumu mjomba wangu aliniita mjini nikamshikie kazi yake wiki moja tu aende mkoani kushughulikia mambo yake akimaliza nitaondoka kijijini na yeye ataendelea na kazi yake ya duka

Alivyorudi akawa ananishawishi nisirudi kijijini bali anitafutie gereji nikajifunze ufundi magari, dah! najuta hadi sasa kwanini nilikutana nae huyu mtu maana ndio amenipoteza maboya kabisa hadi sasa sielewi.

Nilikubali kwa jinsi alivyonishawishi na pia nilikuwa bado chalii sielewi maisha yapoje. Nikajifunza ufundi makenika chap mwaka mmoja na nusu nikaiva kiasi nikatafuta sehemu ya kulipwa nikapata sema malipo kidogo sana kitu ambacho kinapelekea kuwa tegemezi kwa ndugu kitu ambacho zamani nilikuwa sina

Kulia njaa gareji kazi hamna hadi nauli ya kurudi nyumbani nakosa wenzangu niliowaacha kijijini sasa wana familia zao washaoa.

Sasa kuna mtu anataka tufanye biashara ila kichwa hakipo tayari nahisi nina msongo wa mawazo naweza kumtia hasara maana nimechanganyikiwa siko kwenye ule ubora wangu wa zamani kabisa

Hapa nipo zangu gereji sijanywa chai wala sioni dalili ya kula mchana. Nahisi sio mimi ninayepitia mahangaiko haya

Yaani nimejifunza kazi nilioambiwa fundi hafi njaa ila naona daaa mapicha picha sijui nifanyeje yaani msingi wangu nilishakosea

Natamani miaka irudi nyuma hadi 2020 nisahihishe makosa, ila ndio hivyo tena naona nishayakanyaga tayari.
Shida ni mizimu ya kwenu inakufuatilia na kukubana mpaka uendane na maagano uliyohamliwa na jamaa ya koo ulikozaliwa! Hii kitu ni halisi na inatesa watu wengi! Ukipambana na kuishinda utasogea vinginevyo utachizika!
 
Back
Top Bottom