Habarini za mchana wana janvi nina mipango ya kufungua duka la vyakula vya mifugo , naombeni ushauri na hata maboresho na nini nifanye kabla na baada ya kufungua duka hilo kwa wale ambao walishafanya au wataalamu wa biashara.
Nawasilisha ndugu zanguni karibu kuchangia