TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Wakuu heshima kwenu! Ninakiwanja mkoa wa pwani maeneo karibu na halimashauri, ukubwa wa kiwanja no sq 600, sasa usawa wa magu ni mgumu,ila kujenga kunahitajika......nimeenda kuuliza wadau maeneo hayo wakanipa point zifuatazo
Mchanga unaweza kuchukua kwa Bibi Fulani kwa gharama 15000, kwa ndoo ndogo 200, ila wabebaji wa mchanga huo kwa ndoo wanabeba sh.200, fundi matofali anapiga tofali kwa mfuko mmoja 5000, kuhusu cement wadau wamesema nenda kiwandani kanunue tani moja wanauza jumla.sasa nawaombeni wanajf wenzangu kwa siku ya takatifu ya Jumapili, naombeni vitu vifuatavyo:
Msaada wa ramani ya vyumba vitatu, sebule, Choo cha public, jiko na stoo...naombeni free
Naombeni mnichanganulie mpaka hatua ya Boma, nitatumia tofali ngapi
Au kama una mawazo tofauti,naomba utoe ushauri wako.
Hakika utabarikiwa kwa siku ya leo,siku takatifu....kwendeni kanisani
Mchanga unaweza kuchukua kwa Bibi Fulani kwa gharama 15000, kwa ndoo ndogo 200, ila wabebaji wa mchanga huo kwa ndoo wanabeba sh.200, fundi matofali anapiga tofali kwa mfuko mmoja 5000, kuhusu cement wadau wamesema nenda kiwandani kanunue tani moja wanauza jumla.sasa nawaombeni wanajf wenzangu kwa siku ya takatifu ya Jumapili, naombeni vitu vifuatavyo:
Msaada wa ramani ya vyumba vitatu, sebule, Choo cha public, jiko na stoo...naombeni free
Naombeni mnichanganulie mpaka hatua ya Boma, nitatumia tofali ngapi
Au kama una mawazo tofauti,naomba utoe ushauri wako.
Hakika utabarikiwa kwa siku ya leo,siku takatifu....kwendeni kanisani