Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Yap mkuu hapa nimekupata vzuri na nia yangu nifungue hyo ambayo umeielezea kama standing order.sasa nataka kujua kwamba uwekaji wake ni wa mda maalum kwamba kama ni miezi kumi hutoi mpaka ipite hyo miezi?
Na jee vipi kuhusu kukata benki wenyewe hawakati ada ya kuweka pesa kwenye hyo account,yani mfano kila mwsho wa mwezi wakasema wakata 1000 katika akiba yangu,vipi hapo mkuu?
Anhaa.Masharti ya Account yapo palepale. Pitia muongozo wa bank yako na account husika. Ila kwa huduma ya standing order hutatozwa kitu. Pia pesa unaweza toa muda wowote. Maana hiyo sio fixed Account
Yes faza exactly. Fixed amount, fixed timeAnhaa.
Ndo kama ulivosema kwamba fixed account ni koasi cha pesa unaweka kwa mara moja mkupuo sio kila mwezi au siyo mkuu?
Ndio maana yake. Hata kama unataka kumpa elfu 50 mwanao kila mwezi kama pocket money, au kama unalipa elfu 20 kila mwezi kama bill ya maji au kama unafanya saving ya laki 1 moja kila mwezi, njia ndio hiyo ya kuweka Standing ordernaam bos lakini standing naweza katwa moja kwa moja kutoka katika mshahara pale unapoingia bila kupeleka mwenyewe,lakini tuu naweza toa mda wowote mkuu ama vipi?
Ndio maana yake. Hata kama unataka kumpa elfu 50 mwanao kila mwezi kama pocket money, au kama unalipa elfu 20 kila mwezi kama bill ya maji au kama unafanya saving ya laki 1 moja kila mwezi, njia ndio hiyo ya kuweka Standing order
Nafikiri bank nyingi hawana monthly fee ila isipokuwa pale unapotoa fedha au miamala mingine ndio kuna FeePoa oa mkuu nashkuru sana kwa maelezo.mana utasema umpe wife atunze cku mbili unatumia.
Bora kuzichimbia huko benki.
Na hawana makato labda kama kila mwezi wawe wanakata alfu kadhaa kwa ushuru wa kukuwekea pesa zako kwenye bemki yao?
Au hawakati kitu ukiweka unatoa hiyo hiyo?
Fixed deposit unaweka pesa at oncena sio kudunduliza et kila mwezi unaweka elfu 20
Kwa Faida ya Muuliza swaliKuna ile fixed account ukishaweka kiasi flani cha pesa hauongezi tena, unasubiria hadi kipindi ulichoamua kifike ndio unatoa pesa yote unapewa na riba. Endapo litatokea jambo ukataka kuchukua pesa yako, utapewa lakini pia utatozwa malipo ya kuvunja makubaliano.
Lakini kuna benki zina akaunti maalum ambazo unaamua kuweka kiasi flani kila mwezi na hautachukua baada ya kipindi flani. Tena benki zingine hata hiyo akaunt wewe hauifaham, wao wanachotaka hiyo tarehe ya kuhamisha pesa kutoka kwenye hiyo akaunt yako ya kawaida, pesa iwepo.
Ukifika muda mliokubaliana, pesa inawekwa kwenye akaunti yako ya kawaida.
Nafikiri lengo la mleta uzi ni hiyo ya pili.
Kuna ile fixed account ukishaweka kiasi flani cha pesa hauongezi tena, unasubiria hadi kipindi ulichoamua kifike ndio unatoa pesa yote unapewa na riba. Endapo litatokea jambo ukataka kuchukua pesa yako, utapewa lakini pia utatozwa malipo ya kuvunja makubaliano.
Lakini kuna benki zina akaunti maalum ambazo unaamua kuweka kiasi flani kila mwezi na hautachukua baada ya kipindi flani. Tena benki zingine hata hiyo akaunt wewe hauifaham, wao wanachotaka hiyo tarehe ya kuhamisha pesa kutoka kwenye hiyo akaunt yako ya kawaida, pesa iwepo.
Ukifika muda mliokubaliana, pesa inawekwa kwenye akaunti yako ya kawaida.
Nafikiri lengo la mleta uzi ni hiyo ya pili.
Haikuhusu mkuu.
Nafikiri uwe na akaunti ya akiba (savings). Mshahara ukiingia katika checking akaunti, kiasi ulichowaambia kitatolewa tarehe fulani mfano 5 ya mwezi baada ya kupokea mshahara na k uwekwa katika akiba yako.
Fixed akaunti ni tofauti kiasi kwani unaweka kiasi fulani cha pesa na sio kila mwezi ni kwa mkupuo mmoja, halafu huzitoi kwa kipindi cha miezi ama 3, 6, 9 au 12.
Hivyo nzuri kwako ni akiba (savings) akaunti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwaambia kama unajua tarehe gani mshahara unaingia katika akaunti yako na hakuna mabadiliko badiliko, kwani ni computer ndio inayofanya yote hayo.Naa vii haiwezekani kuwaambia wakate kila inapoingia tu mkuu?
Na hyo saving unaweza toa mda wowote uutakao ama mpaka mda maalumu ambao uliuandika kwamba utatoa baada ya muda huo?
Unaweza kuwaambia kama unajua tarehe gani mshahara unaingia katika akaunti yako na hakuna mabadiliko badiliko, kwani ni computer ndio inayofanya yote hayo.
Kutoa au kutotoa ni nidhamu yako mwenyewe, hawakuzuii kutoa unapotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkuru sana baada ya kupigwa ban nimepata adabu ya kuwaheshimu viongozi wa jamii forum.
Naomba mawazo,nina kamshahara kangu napokea kwa mwezi kanapitia NMB sasa nataka kuweka akiba kiasi fulani mpaka baada ya miezi ishirini mbele niwe na milion tatu.
Ninachokitaka ni kwamba pesa nikiweka ndo iwe nimeweka nisitoe mpaka kwa muda niliouanisha,na ninachokitaka ni kwamba mshahara ukiingia tu waukate moja kwa moja mpaka kwenye akaunti ya akiba,nimeuliza majuzi NMB wamenambia inawezekana.ila hapa nataka nipate data nyingi za ziada.
Sihitaji riba ninachokitaka pesa yangu ile ile ninayoweka ndo niitoe wala hamna tatizo.
Jee hii imekaaje changamoto zake wakuu?
NB : JF kiboko,ukitoka utarudi tu.
Iko poa ila tatizo lake ina riba,sihitajii riba kabisa mkuu,nataka nitoe kile ninachoweka tu vinginevyo nikatwe hyo gharama ya kutolea tu.Mkuu tembelea benki ya TPB kuna huduma inaitwa WADU. Ni kwamba A/C hii ni ya akiba ambapo utasema ni shilingi ngapi ikatwe kutoka kwenye mshahara wako (kwenye source) na kuingizwa kwenye hiyo A/C kwa muda utakao utaka wewe bila Ku withdraw mfano miezi 3, 6, 9, mwaka 1 au 2 nk.
No monthly charges kwenye A/C hii na ina riba (faida) ya 5%. Ila ili uipate faida hiyo ni lazima minimum balance iwe TZS 100,000/= na kuendelea pia utii mkataba, kwamba usi withdraw kwa muda mliokubaliana
Kama hauhitaji ribs unaweza waambie waiondoe sio tatizo wanaondoaIko poa ila tatizo lake ina riba,sihitajii riba kabisa mkuu,nataka nitoe kile ninachoweka tu vinginevyo nikatwe hyo gharama ya kutolea tu.