Naombeni ushauri,nataka nikatwe mshahara uingie katika akaunti ya akiba

Naombeni ushauri,nataka nikatwe mshahara uingie katika akaunti ya akiba

Oooh asante sana mkuu nimepata mwanga mwingine hapa.

Ila bora kuweka ya miezi sita sita mana miez 20 duuh cyo mchezo
Nmb Wana account ya muda maalumu unaweza tumia hii account unaandika standing order kila mwezi wanatransfer pesa kwenda kwenye iyo account hautoweza toa pesa mpaka ule muda uliochagua

NB; unatakiwa ufungue acc nyingine tofauti Na iyo ya mshahara

Kingine DTB wanaproduct ambayo unaweza save kidogo kidogo kila mwezi inaitwa kibubu account kila mwezi unakatwa kiasi kile kile kinawekwa kwenye kibubu iyo pesa huwezi igusa maana unakuwa huna access nayo kabisa itarudi kwa account yako automatic bada ya maturity hivo kama ungekuwa Na account DTB nadhani hii ingekuwa best option kwako mkuu, Na hii kibubu hupewa interest ya 8% kwa miezi sita Na 10% kwa mwaka ila unaweza chagau kuanzia miezi sita mpaka Miaka mitano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooh asante sana mkuu nimepata mwanga mwingine hapa.

Ila bora kuweka ya miezi sita sita mana miez 20 duuh cyo mchezo
Mkuu ukisave unatakiwa usave muda mrefu ukipata emergency unaweza enda wakusaidie watavunja mkataba unapewa chako

Kingine unaweza fungua account afu ukaomba waweke option ambayo haigoruhusu acc Toa pesa mpaka siku utakayoamua unaenda bank unaomba wairuhusu iweze Toa pesa hivo kwa kipindi chote hicho utaweza weka tu na sio kutoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anhaaaa,poa poa mkuu nimekusoma vizuri sana.bora kusave mda mref ukipata ni pa maana unafanya jambo.
Mkuu ukisave unatakiwa usave muda mrefu ukipata emergency unaweza enda wakusaidie watavunja mkataba unapewa chako

Kingine unaweza fungua account afu ukaomba waweke option ambayo haigoruhusu acc Toa pesa mpaka siku utakayoamua unaenda bank unaomba wairuhusu iweze Toa pesa hivo kwa kipindi chote hicho utaweza weka tu na sio kutoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom