Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
Habari WanaJF.
Kwa kifupi Mimi niliacha chuo (nilikuwa nasoma Degree ya Eng flani) Sasa nilipatwa na matatizo nikaamua kuacha chuo yaani nilifanya Deregistration.
Sasa nahitaji kurudi chuoni tena naombeni ushauri wenu, Process zinakuwaje?, ni zilezile kupitia Tcu au zinabadilika? na vp kuhusu bodi ya mikopo maana nilikuwa na mkopo.
Nawasilisha.
Kwa kifupi Mimi niliacha chuo (nilikuwa nasoma Degree ya Eng flani) Sasa nilipatwa na matatizo nikaamua kuacha chuo yaani nilifanya Deregistration.
Sasa nahitaji kurudi chuoni tena naombeni ushauri wenu, Process zinakuwaje?, ni zilezile kupitia Tcu au zinabadilika? na vp kuhusu bodi ya mikopo maana nilikuwa na mkopo.
Nawasilisha.