Naombeni Ushauri nimedisco chuo tangu mwaka wa pili na nyumbani wanajua naendelea na masomo na huu ndiyo mwaka wa mwisho

Naombeni Ushauri nimedisco chuo tangu mwaka wa pili na nyumbani wanajua naendelea na masomo na huu ndiyo mwaka wa mwisho

hauzeeee45

Member
Joined
Jul 3, 2024
Posts
23
Reaction score
71
Mambo wana JamiiForums,

Nilidisco Chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lakini mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mimi naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata.

Sasa huu ndo mwaka wa tatu huko nyumbani wameanza shamrashamra za maandalizi ya graduation yangu😓yani kila wakiongea na mimi ndiyo maswali ninayoulizwa.

Hapo kuna Dada angu mkubwa ni Afisa Maendeleo ya Jamii. Jana anasema Keki na hela ya joho juu yake mimi naitikia sawa Dada .

Naombeni ushauri waliyowahi kupitia hali kama hii wanisaidie.
 
Vaa joho feki au sema ukweli.
Tatizo si kufeli, tatizo wewe ni tapeli kama wale wa tuma kwa namba hii, tofauti ni unawatapeli ndugu zako. Kama unataka amani, acha kuwatapeli, waambie msipoteze pesa, nilifeli.
 
Ulifanya kosa la kwanza ila ukarudia tena kufanya kosa.

Ada waliyokutumia ya mwaka wa tatu ungeitumia kwenda chuo kingine then sasahivi ungewaface na kuwaambia hali halisi ili waendelee kukulipia ada ya miaka miwili iliyobaki.

Huna jinsi zaidi ya kuwaambia ukweli
Pole kwa kushindwa kujitambua..!
 
Mambo wana Jf
nilidisco chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lkn mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mm naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata

Sasa huu ndo mwaka wa tatu huko nyumbani wameanza shamrashamra za maandalizi ya graduation yangu😓yani kila wakiongea na mm ndo maswali ninayoulizwa.

Hapo kuna dada angu mkubwa ni Afisa maendeleo ya jamii jana anasema Keki na hela ya joho juu yake mm naitikia sawa dada .

Naombeni ushauri waliyowahi kupitia hali kama hii wanisaidie
waambie tu hutaki mtu kwenye mahafali yako,
 
Kiongozi gegeda kwanza lita za maji....halafu subir ushaur ulio bora kwaajili yako
 
Tafuta mtu mzima mmoja umwambie umedisco mwaka huu Kuna coarse uli-carry mwaka huu hujachomoa, alafu mwambie umepatakibarua utakuwa hupatikani mara kwa mara ,hivo watake radhi na uanze kupapambana ,Kisha Zima simu miezi mitatu,utakuwa unarudi kumtext huyo mzee kwamba hujafa Bado unapambana ,usiruhusu akujibu,toa line fasta kapige kazi, usisahau kumuomba Mungu Toba kwa udanganyifu na utapeli, ila usichague kazi hata taka zoa
 
Kwakuwa hili suala la Wanafunzi kutapeli wazazi linazidi kuwa kubwa. TCU watengeneze Website ambayo Wazazi wanaweza kuitumia kutambua endapo mwanae yupo ON PROGRESS, GRADUATE, DICONTINUED, ON PT, CARRY, SUP nk ili kuondoa hili ombwe gumu la malezi. Wazazi hatutahitaji kuona taarifa nyiingi za huyo mtoto just kujua Learning status yake baasi. Kinachotakiwa ni Reg.Namba ya mwanafunzi then unasearch inaleta status baasi.

Naleta kama mzazi hii inshu imekuwa kero sana.

Hii itasaidia pia waaajiri wanaokumbana na wanafunzi feki wanaoghushi barua za field na kufanyakazi maeneo nyeti lkn kumbe siyo wanafunzi.
 
Mambo wana Jf
nilidisco chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lkn mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mm naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata

Sasa huu ndo mwaka wa tatu huko nyumbani wameanza shamrashamra za maandalizi ya graduation yangu😓yani kila wakiongea na mm ndo maswali ninayoulizwa.

Hapo kuna dada angu mkubwa ni Afisa maendeleo ya jamii jana anasema Keki na hela ya joho juu yake mm naitikia sawa dada .

Naombeni ushauri waliyowahi kupitia hali kama hii wanisaidie
Pole ndugu,vyema umekuja kwa ajili ya kuomba ushauri,kwania njema naomba uwajulishe wanajukwaa juu ya malezi uliyopewa katika familia yako,pia ni sababu zipi hapo chuoni kwako zilipelekea hadi ukadisco,je ni starehe,utoro,mahusiano,maradhi au sababu gani nyingine.Ukiweza kufanya hivyo naamini utaweza kupata ushauri ulio bora na utakao kusaidia kwa kile unachopitia.
 
Mambo wana Jf
nilidisco chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lkn mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mm naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata

Sasa huu ndo mwaka wa tatu huko nyumbani wameanza shamrashamra za maandalizi ya graduation yangu😓yani kila wakiongea na mm ndo maswali ninayoulizwa.

Hapo kuna dada angu mkubwa ni Afisa maendeleo ya jamii jana anasema Keki na hela ya joho juu yake mm naitikia sawa dada .

Naombeni ushauri waliyowahi kupitia hali kama hii wanisaidie
Malizia tu uwo mchezo uliuanza miaka miaka miwili nyuma

Apo me nakushauri tafuta joho vaa fanya graduation kwa furaha kabs baada hapo tafuta fix ingine ya kuwapiga badae kwamba nimenyimwa vyeti kwajili ulifeli mwaka WA3 au ulifumaniwa unapiga Chapo kwenye pepa
 
Mambo wana Jf
nilidisco chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lkn mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mm naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata

Sasa huu ndo mwaka wa tatu huko nyumbani wameanza shamrashamra za maandalizi ya graduation yangu😓yani kila wakiongea na mm ndo maswali ninayoulizwa.

Hapo kuna dada angu mkubwa ni Afisa maendeleo ya jamii jana anasema Keki na hela ya joho juu yake mm naitikia sawa dada .

Naombeni ushauri waliyowahi kupitia hali kama hii wanisaidie
Usiwaambie ukweli saivi utachangnyikiwa ufe subiri angalau mwakani ndo uje use me ukweli
 
Kwakuwa hili suala la Wanafunzi kutapeli wazazi linazidi kuwa kubwa. TCU watengeneze Website ambayo Wazazi wanaweza kuitumia kutambua endapo mwanae yupo ON PROGRESS, GRADUATE, DICONTINUED, ON PT, CARRY, SUP nk ili kuondoa hili ombwe gumu la malezi. Wazazi hatutahitaji kuona taarifa nyiingi za huyo mtoto just kujua Learning status yake baasi. Kinachotakiwa ni Reg.Namba ya mwanafunzi then unasearch inaleta status baasi.

Naleta kama mzazi hii inshu imekuwa kero sana.

Hii itasaidia pia waaajiri wanaokumbana na wanafunzi feki wanaoghushi barua za field na kufanyakazi maeneo nyeti lkn kumbe siyo wanafunzi.
Wanafunzi wenyew ndo kama jule alokuwa anaomba picha ya laptop ilopasuka kioo. Hii nchi tunakwama vitu vingi sana
 
Mambo wana Jf
nilidisco chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lkn mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mm naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata

Sasa huu ndo mwaka wa tatu huko nyumbani wameanza shamrashamra za maandalizi ya graduation yangu😓yani kila wakiongea na mm ndo maswali ninayoulizwa.

Hapo kuna dada angu mkubwa ni Afisa maendeleo ya jamii jana anasema Keki na hela ya joho juu yake mm naitikia sawa dada .

Naombeni ushauri waliyowahi kupitia hali kama hii wanisaidie
Dah! Wewe ni toto ya hovyo sana. Na kuumbuka hakukwepeki. Yaani ndiyo kwaanza misukosuko imeanza. Bora tu useme ukweli. Maana yajayo, yanafurahisha.
 
Back
Top Bottom