Nenda kwa daktari umuulize kama unaweza kuacha pombe ghafla au polepole. Ukipata jibu zingatia yafuatayo.
1. Achana na marafiki walevi. Usiwaambie kuwa huwataki bali tumia akili yako kutengana nao.
2. Tafuta marafiki wacha Mungu.
3 Tafuta kazi za kufanya muda wa ziada. Usiruhusu muda wa kutembelea bar.
4. Kila bar uite ni central na wewe jiite in muuaji wa Kibiti. Hutasogea bar maana mhalifu hasogelei kituo cha polisi.
NB: Jihadhari unaweza kukwepa pombe ukaangukia ulevi wa akina Dada/ kaka. Hudhuria ibada uepuke hayo