Tafuta namna ya kumwambia uokoe roho yake, uokoe mwili wake,uokoe maisha yake.
Maradhi ni mengi mno, ukimwi umetapakaa mno ni maumivu sana kusalitiwa, tafuta namna ya kumuokoa iwe tu indirect way hata direct way ikibidi, tulipofikia hakuna aliye salama ukimwi hauchagui.
Brother wangu aliambiwa sana mkewe anasaliti, hakuamini na akapuuza lakini leo hii na mke wote ni HIV+...inaumiza sana.
Sijaoa lakini huwa nawaambia rafiki zangu ikitokea umemuona mchumba yupo na mtu niambie, ili uokoe maisha yangu palipofikia tusioneane aibu[emoji846]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app