Naombeni ushauri nimemfumania shemeji yangu

Kuna siku nilienda semina wkt natafuta sehemu ya kulala ghafla nakutana na shemu wangu anatoka room teena mkoa ule ule nilipo ndiyo anaishi.

Akaanza kuniomba niwe mvumilivu guess what nilimwambia hapa tupo unyagoni/ jandoni hayatokagi ya kule poa moto ndugu yangu.
Daah ananiheshomu sana mpk kesho ila siri tunayo sisi wawili hivyo.
 
hamishia huo ushahidi kwenye flash ,au tuma videos kwangu , nipe na address ya jamaa .ntazi-duplicate hizo flash ziwe 4 ,moja kwa rafiki ako , moja kwa huyo mke wake ,moja kwa mama akw na jamaa moja kwa ndugu wa mwanamke......baada ya apo kesi kwishaa ...njoo PM chapu

vigezo na masharti kuzingattiwa
Kama unaushahidi..nunua flashi..rekodi..mtume mtu asiemjua..ampe..alafu kaa kimya. Akiona yeye..ataaamua lililo sahihi..na wewe hutakuwa na lawama. Na hapo untakuwa umeiweka huru nafsi yako kuliko uivyo sasa.
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.
Hamishia huo ushahidi kwenye flash ,au tuma videos kwangu , nipe na address ya jamaa .ntazi-duplicate hizo flash ziwe 4 ,moja kwa rafiki ako , moja kwa huyo mke wake ,moja kwa mama akw na jamaa moja kwa ndugu wa mwanamke......baada ya apo kesi kwishaa ...njoo PM chapu

vigezo na masharti kuzingattiwa
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Hilo kundi la WhatsApp linaongelea aje masuala ya ndoa? Linahamasisha kuchepuka au kugeshimu ndoa au ni changamoto za ndoa?
Picha ya shemeji na video, ni kabla au baada ya ndoa na rafiki yako?

Ukweli utawaweka wote huru, kama imetokea umejua udhalimu unaoendelea, uweke wazi, Sidhani kama rafiki yako hatakuelewa nia yako ya dhati ya kumnusuru na majanga ya mkewe.
 
Hofu yangu ipo kwenye mapokeo ya jamaa maamuzi magumu yeyote yakitokea Mimi siwezi kuwa chanzo?
Chanzo ni mkewe, sio wewe! Mambo ya mapenzi, unaweza kweli ikakurudia wewe, ila baada ya muda wa kutulia, atavuna kujua wewe sio chanzo, bali mkewe.
 
Broo kabisa ukashindwa kumwambia ukamficha malaya
Maamuzi aliofanya ni sahihi kuliko kumwambia huyo bro! Angeishilia kuonekana mchawi tu 😅 the best decision ni aheri angemuita ashuhudie mwenyewe anakotoka mkewe
 
Hofu yangu ipo kwenye mapokeo ya jamaa maamuzi magumu yeyote yakitokea Mimi siwezi kuwa chanzo?
Kwanini usiwe chanzo wakati umepeleka umbeya! Cha kufanya mpe admin namba ya rafiki yako halafu amu add kwenye hilo group kimya kimya😅
 
Jamaa alikuwa na maamuzi ya hasira sana😅 dah haya maisha haya
 
Shemeji angekupa tunda ili ukaushe😅
 
Kafungue hata account fake umtumie ujumbe Facebook na number za huyo mtu umwambie afatilie huyo mwanamke. Ila huyo mwanamke kanisikitisha jinsi mumewe anavojitoa kwake then ana msaliti, si ajabu na watoto ni wamuchepuko
Kwa hizo hasara, machozi, jasho na damu jamaa akisikia huo upuuzi huyo mwanamke hawezi endelea kupumua ndani ya masaa 24 yajayo 😅😂😅
 
Kwa hizo hasara, machozi, jasho na damu jamaa akisikia huo upuuzi huyo mwanamke hawezi endelea kupumua ndani ya masaa 24 yajayo [emoji28][emoji23][emoji28]
Mwanamke mjinga huyu, jamani to jifunze kuheshimu wanaotujali kwenye shida na raha na kuepuka kuwaumiza maana tunawafanya waje kuwa katili
 
Hapa ni kumwambia tu rafiki yako ukweli mapema ili asije pata maradhi. Kuna wanawake wengine ni mizimu/majini kisirani haipaswi kuolewa hata kidogo.
 
Mwanamke mjinga huyu, jamani to jifunze kuheshimu wanaotujali kwenye shida na raha na kuepuka kuwaumiza maana tunawafanya waje kuwa katili
Umeongea point, huyu dada yenu anawatia doa wanawake wote na kuonekana kama Kajala na mwanaye asiyependa shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…