Naombeni ushauri nilikuwa sijui nimewekea 500m na wazazi wangu nimekuja kujua hivi karibuni wiki ya kuanzia j3 kuja wikiend hii nipo hapa naweweseka baada ya mwanasheria wa mzee kuniambia kwa maana alikuwa karibu sana na mzee wazazi wangu wote wamefariki.
Naombeni ushauri wa nn nikifanyie biashara ipi au wazo lolote lile
Naombeni ushauri wa nn nikifanyie biashara ipi au wazo lolote lile