Amka uachane na hiyo ndoto, utavurugikiwa akili buree. M 500 kwanini usitafute mwanauchumi wa familia yenu akupe ushauri? Au huyo mwanasheria yeye anasemaje?Naombeni ushauri nilikuwa sijui nimewekea 500m na wazazi wangu nimekuja kujua hivi karibuni wiki ya kuanzia j3 kuja wikiend hii nipo hapa naweweseka baada ya mwanasheria wa mzee kuniambia kwa maana alikuwa karibu sana na mzee wazazi wangu wote wamefariki.
Naombeni ushauri wa nn nikifanyie biashara ipi au wazo lolote lile
Akiwa muongo muongo akumbuke kuwa na kumbukumbu nzuri😬Natafuta kazi hali ni mbaya
Natafuta kazi yeyote iliopo ndani ya jiji la Dar es salaam naombeni msaada wa kazi hali ni mbayawww.jamiiforums.com
😂😂😂😂😂Natafuta kazi hali ni mbaya
Natafuta kazi yeyote iliopo ndani ya jiji la Dar es salaam naombeni msaada wa kazi hali ni mbayawww.jamiiforums.com
Janga la ukosefu wa ajira kwa vijana linafanya vichwa vyao vinapasuka na stress wanaanza kuota mchana kweupeNaombeni ushauri nilikuwa sijui nimewekea 500m na wazazi wangu nimekuja kujua hivi karibuni wiki ya kuanzia j3 kuja wikiend hii nipo hapa naweweseka baada ya mwanasheria wa mzee kuniambia kwa maana alikuwa karibu sana na mzee wazazi wangu wote wamefariki.
Naombeni ushauri wa nn nikifanyie biashara ipi au wazo lolote lile
Hio post ni ya wiki iliyopita taarifa nimepata wiki ya j3 kuja wikiend hiiNatafuta kazi hali ni mbaya
Natafuta kazi yeyote iliopo ndani ya jiji la Dar es salaam naombeni msaada wa kazi hali ni mbayawww.jamiiforums.com
Kwani ww ni mwanamke wa maanaNa demu wako anajisifu kapata mwanaume wa maana..!🤔
Nimepata taarifa ivi karibun hio post na ya wiki iliopita ni kweli nilikuwa na hali mbayaAkiwa muongo muongo akumbuke kuwa na kumbukumbu nzuri😬
Asante kiongozi nitafuatiliaKama kweli kanunue bonds za Serikali ule kiulaini bila kufanya kazi.
Unaweza kupata zaidi ya Mil5 kwa mwezi na pesa yako ipo pale pale na kumbuka Serikali haifilisiki tofauti ukiiwekeza kwenye mabenki ya kibiashara.
Hongera sana mkuu na waombee sana wazazi wako.