Wakati sina ajira nimeomba kazi hamjanipa leo nina 500 bank naomba ushauri wenu mnasema stress kweli bongo nyosoJanga la ukosefu wa ajira kwa vijana linafanya vichwa vyao vinapasuka na stress wanaanza kuota mchana kweupe
Mzee baba kumbe Lambo bado ipo, kitambo sana hayo maeneoNjoo tuanzie tip top tumalizie na lambo, mademu ni 5000 tu, hatutapunguza chochote kwenye hiyo million 500.
Naombeni ushauri nilikuwa sijui nimewekea 500m na wazazi wangu nimekuja kujua hivi karibuni wiki ya kuanzia j3 kuja wikiend hii nipo hapa naweweseka baada ya mwanasheria wa mzee kuniambia kwa maana alikuwa karibu sana na mzee wazazi wangu wote wamefariki.
Naombeni ushauri wa nn nikifanyie biashara ipi au wazo lolote lile
Ok ok okNimepata taarifa ivi karibun hio post na ya wiki iliopita ni kweli nilikuwa na hali mbaya
Kijana acha puli na kuangalia pono. Amka asubuhi mapema kila siku na ujifunze kitu kipya kila siku. Kuna watu walikuwa na hili tatizo sasa wameshabadilika.Naombeni ushauri nilikuwa sijui nimewekea 500m na wazazi wangu nimekuja kujua hivi karibuni wiki ya kuanzia j3 kuja wikiend hii nipo hapa naweweseka baada ya mwanasheria...
Nimekuambia sina hela nimeomba ushauri pamoja na mawazo biashara ya kufanyaKijana acha puli na kuangalia pono. Amka asubuhi mapema kila siku na ujifunze kitu kipya kila siku. Kuna watu walikuwa na hili tatizo sasa wameshabadilika.
Punyeto inaharibu mfumo wako wa dopamine. Ukijifunza kitu chochote na uka- accomplish ndio utaweza kuingiza hela ndugu yangu.
Kama ni ufundi au taaluma yeyote. Ndani ya miezi mitatu au minne utakuwa umeyabadilisha maisha yako sana.
Mawazo ndio hayo jifunze kitu chochote anza na ufundi umeme, ufundi bomba na usukaji wa nondo. Kwa sasa niko nje lakini kuna vijana wanachukua 900000 kwa kazi ya wiki katika usukaji nondo na ufundi umeme. Na ni team ya watu watano. Wanapiga kazi vizuri na wana umoja wawili wana magari kabisa. Fursa zipoo kibao anza na chochote hauwezi kukuwa kwa haraka. Hatua ngumu ni kuanza ukishaanza unazoea.Nimekuambia sina hela nimeomba ushauri pamoja na mawazo biashara ya kufanya
Watu muko na Wifuuu 😂😂Stress mbaya sana,. Kijana fanya ule uoge ulale mapema leo
Kama kweli kanunue bonds za Serikali ule kiulaini bila kufanya kazi.
Unaweza kupata zaidi ya Mil5 kwa mwezi na pesa yako ipo pale pale na kumbuka Serikali haifilisiki tofauti ukiiwekeza kwenye mabenki ya kibiashara.
Hongera sana mkuu na waombee sana wazazi wUna
Huyu kijana ameanza kuchanganyikiwa😬😃😂Watu muko na Wifuuu 😂😂