Naombeni ushauri ninakufa njaa mwenzenu

Naombeni ushauri ninakufa njaa mwenzenu

Tafuta shahada ya vipimo vya ukimwi vya mtu alieathirika halaf weka juu ya meza ionekane, halaf wewe tambaa na bakuli yako ya supu bila wasiwasi. Huyo jamaa akiludi tena hapo kwenye mkahawa basi ujue na yeye ni mwathirika.
Ikishindikana hii nistue nikupe plan B
SALUTE, SALUTE, SALUTE...... hii ni funga kazi, ila inabidi Smile afanye hivi kama tu hataki kutoa hiyo nduruuu, lasivyo yeye agawe tu ili wawe wanakula pamoja
 
Atakuwa ameacha namba kwa wahudum wawe wanambip ukifika, jenga nae mazoea na hutomwogopa tena.
 
SALUTE, SALUTE, SALUTE...... hii ni funga kazi, ila inabidi Smile afanye hivi kama tu hataki kutoa hiyo nduruuu, lasivyo yeye agawe tu ili wawe wanakula pamoja
Swahiba, hapo red ni word! maana isje ikawa Lawyer nimejipinda natoa ushauri faifu star kumbe smile anatetemeka kwa kulowa.
 
atakuwa ameacha namba kwa wahudum wawe wanambip ukifika, jenga nae mazoea na hutomwogopa tena.
nadhani sio bure mkuu ,hata siku sipo huwa anajua maana lazima aniulize
 
Swahiba, hapo red ni word! maana isje ikawa Lawyer nimejipinda natoa ushauri faifu star kumbe smile anatetemeka kwa kulowa.

pwenti lawyer, mie hapo naona kama jamaa naye anakata viuno tu, hii gemu wala isingefika extra time kabisa....

Sijui majamaa wengine wakoje aisee, sasa kutwa kuvizia timing ya dada ya chakula wakati angepiga tu front wheels
 
hahaha smile hujielewi wewe ni type za wale wasio weza kujua hisia zao. In reality unampenda huyo mkaka sema wajaribu pingana na hisia zako .
 
pwenti lawyer, mie hapo naona kama jamaa naye anakata viuno tu, hii gemu wala isingefika extra time kabisa....

Sijui majamaa wengine wakoje aisee, sasa kutwa kuvizia timing ya dada ya chakula wakati angepiga tu front wheels
Labda na yeye anamwogopa smile lol!..
 
unasumbuliwa na ugonjwa wa uchoyo.....
ili upone mpe huyo kaka offer ya lunch....
 
Jamani nisaidieni nifanyeje msichukulie utani.hapa nina njaa nikisema nikanywe hata juice ile tu wanasave na yeye anaingia mwee ni nini hiki?
Nashindwa kula mwenzenu
 
pwenti lawyer, mie hapo naona kama jamaa naye anakata viuno tu, hii gemu wala isingefika extra time kabisa....

Sijui majamaa wengine wakoje aisee, sasa kutwa kuvizia timing ya dada ya chakula wakati angepiga tu front wheels

Si ndio nashangaa smile anamuogopea nini? yaani rijali zima inakuwaje? inaanzaje anzaje? , watu wanakwenda hijja saudia wewe unakwenda hijja mkahawani kumuangalia smile amemaliza chapati ngapi? nyambaaf zake. Hapa lawyer nimeongea kwa hasira sana
 
Smile kwa jinsi ambavyo huwa nakuchukulia,sikutegemea unaweza kuwa mwoga kiasi hiki...lol
 
si ndio nashangaa smile anamuogopea nini? Yaani rijali zima inakuwaje? Inaanzaje anzaje? , watu wanakwenda hijja saudia wewe unakwenda hijja mkahawani kumuangalia smile amemaliza chapati ngapi? Nyambaaf zake. Hapa lawyer nimeongea kwa hasira sana
hata mimi namshangaa bwana,katumwa nini?
 
Back
Top Bottom