[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chemsha magugu maji ule
Ndio manini haya eti??Makukuru
Ukinipikia talaka inakuhusuMakukuru
Pika MaweNdugu, nimewaza mpaka kichwa kinauma sijui nipike Chakula gani mchana Nile.
Naombeni msaada, shauri chochote bila kujali kitapatikanaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri wote wanakula mawe kama kwenu huko?Pika Mawe
Njugu Mawe kwani wewe huli?Wewe usiwe kiaziUnafikiri wote wanakula mawe kama kwenu huko?
Ndugu, nimewaza mpaka kichwa kinauma sijui nipike Chakula gani mchana Nile.
Naombeni msaada, shauri chochote bila kujali kitapatikanaje
Sent using Jamii Forums mobile app