You
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nimekumbuka Tapioca kipindi nimeenda Brazil ndio ilikua chakula yanguPika Pizza Kapiyoca au Tikeno muskino tacos!
mkuu kwema? Ulishapata jibabu la kukulea?
Hahah uko njema askar wanguDah nimekumbuka Tapioca kipindi nimeenda Brazil ndio ilikua chakula yangu
[emoji23]Hahah uko njema askar wangu
Brazili ya kwa akina dinyo au ya chamazi[emoji23]
Yenyewe mkuu nilienda Fortaleza kwenye project moja ya mambo ya utalii siku kadhaaBrazili ya kwa akina dinyo au ya chamazi
Ahaa baab kubwa sana bas chalii araYenyewe mkuu nilienda Fortaleza kwenye project moja ya mambo ya utalii siku kadhaa
Duuh mkuu,ndo kipoje hichomkuu leo mchana pia pika lambthytacyneclixious complicutidos with mayonnised salad.
MANDUMBWANdugu, nimewaza mpaka kichwa kinauma sijui nipike Chakula gani mchana Nile.
Naombeni msaada, shauri chochote bila kujali kitapatikanaje
Sent using Jamii Forums mobile app