Naombeni ushauri nipo njia panda

Ndoa ni makubaliano ya mwanamke na mwanaume KUISHI pamoja, naona wewe Bado haujakubaliana KUISHI na huyo mwanaume, Kuna taratibu za ndoa, ikiwemo mahari , Sasa umeishatolewa hadi mahari tayari wewe ni mke halali kabisa na ndoa hiyo ni ya kimila na inatambulika , Cha kukushauri mwambie huyo mwanaume afanyanye taratibu za kidini Ili mfunge ndoa ya kidini , ila kama ukisikiliza upande wa wazazi wako na ukarudi kwenu hata ningekuwa Mimi nakuacha mazima !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…